Prof. Palamagamba Kabudi: Vikwazo vipate baraka ya Umoja wa Maraifa

Prof. Palamagamba Kabudi: Vikwazo vipate baraka ya Umoja wa Maraifa

bagamoyo

JF-Expert Member
Joined
Jan 14, 2010
Posts
24,941
Reaction score
28,869
October 25, 2019
Dar es Salaam, Tanzania

Prof. Palamagamba Kabudi: Vikwazo vipate baraka ya Umoja wa Mataifa


Prof. Palamagamba Kabudi asema kuwa Vikwazo vinavyowekewa nchi za kiAfrika lazima vipitie kwanza Umoja wa Mataifa na kujadiliwa ktk Baraza la Kuu la Umoja wa Mataifa (UNGA United Nations General Assembly) ili kupata baraka za nchi wanachama wa Umoja wa Mataifa.

Prof. Kabudi anakosoa nchi mmoja au chache kubwa beberu kuamua kuweka vikwazo bila kushirikisha jumuiya ya kimataifa ni njia batili na haikubaliki. Amekosoa vikwazo kuamuliwa na nchi moja beberu maana huathiri kina mama, watoto na wananchi wanyonge zaidi

Vikwazo vinaenda kinyume na mila na desturi za uungwana kwa nchi moja kutangaza vikwazo bila kuhusisha Umoja wa Mataifa au Jumuiya za Kikanda kujadili pendekezo la vikwazo kabla havijatekelezwa.

Kama Marekani na Uingereza wangekuwa na hoja za msingi kuhusu Zimbabwe wangepeleka azimio kwenye Baraza la usalama la Umoja wa Mataifa".Prof. Kabudi.

Source: ITV Tanzania
 
UN SPECIAL RAPPORTEUR ON HUMAN RIGHTS SPEAKS ON ZIMBABWE
27 Sep 2019

UN Special Rapporteur urges govt to re-align laws with Constitution

United Nations Special Rapporteur on the right to peaceful assembly and association, Mr Clément Nyaletsossi Voule, concluded his 10- day official visit to Zimbabwe with a media briefing on his meetings with government, independent institutions and civil society organisations.

 
Asubiri vikwazo vitakapoanza huku na yeye amewwkewa vikwazo vya kusafiri asafiri kwenda un kuiza kama vikwazo vimepata baraka zake.

Alafu marekani anaweka travel ban kwenye nchi yake anahitaji un wabariki?
 
Waliopo madarakani wakitangaziwa Vikwazo hukimbilia kulia kuwa kina mama na watoto watakuwa waathirika wakubwa.

Ukweli vigogo watawala wanatumia 'kina mama na watoto' kama ngao ya kujinusuru na vikwazo. Kutumia nguvu yao kama watawala kukusanyika ktk Baraza la Usalama Umoja wa Mataifa kuunda makundi ya kisiasa kupinga mswada wa vikwazo na ndiyo maana Marekani na Umoja wa Ulaya wanajua janja ya hawa wanasiasa na kuamua kujitangazia vikwazo bila kutumia Umoja wa Mataifa.
 
Back
Top Bottom