Mbogwekwetu
Member
- Jan 1, 2020
- 7
- 3
HovyooooUmoja wa Mataifa ni mali ya Marekani hivyo ikiwa itagundua ukiukwaji wa sheria za kimataifa lazima ikushughulikie bila kupata ushauri kwa ye yote.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HovyooooUmoja wa Mataifa ni mali ya Marekani hivyo ikiwa itagundua ukiukwaji wa sheria za kimataifa lazima ikushughulikie bila kupata ushauri kwa ye yote.
Hiki chama-Kongwe CCM hakioni vikwazo vya kisiasa dhidi ya vyama vingi vilivyoruhusiwa kikatiba Tanzania ni aina ya ukoloni mamboleo
October 25, 2019
Dar es Salaam, Tanzania
Prof. Palamagamba Kabudi: Vikwazo vipate baraka ya Umoja wa Mataifa
Prof. Palamagamba Kabudi asema kuwa Vikwazo vinavyowekewa nchi za kiAfrika lazima vipitie kwanza Umoja wa Mataifa na kujadiliwa ktk Baraza la Kuu la Umoja wa Mataifa (UNGA United Nations General Assembly) ili kupata baraka za nchi wanachama wa Umoja wa Mataifa.
Prof. Kabudi anakosoa nchi mmoja au chache kubwa beberu kuamua kuweka vikwazo bila kushirikisha jumuiya ya kimataifa ni njia batili na haikubaliki. Amekosoa vikwazo kuamuliwa na nchi moja beberu maana huathiri kina mama, watoto na wananchi wanyonge zaidi
Vikwazo vinaenda kinyume na mila na desturi za uungwana kwa nchi moja kutangaza vikwazo bila kuhusisha Umoja wa Mataifa au Jumuiya za Kikanda kujadili pendekezo la vikwazo kabla havijatekelezwa.
Kama Marekani na Uingereza wangekuwa na hoja za msingi kuhusu Zimbabwe wangepeleka azimio kwenye Baraza la usalama la Umoja wa Mataifa".Prof. Kabudi.
Source: ITV Tanzania
Kwa maoni yako Umoja wa Mataifa una faida yo yote au unaleta vurugu tu?Kama ndivyo,Watangazie ulimwengu kuwa waliuadaa kwa nusu karne sasa la sivyo umoja huo hauna maana yeyote ya kuuita umoja wa mataifa.
Ni ujinga kama huna hoja! Bora ukae na mkeo subiria chakula!Hovyoooo
Huna lolote, umekaririshwa
Una laana ya Wazazi wako huwezi thubutu kutukana matusi kwa Kiongozi wako tena wazirihuyu jina lake ni Propesa Pumbavu Kaibuliwa Jalalani.
ndiyo maana!
We ni uzao wa nyumba za wageniMheshimiwa kalamaganda kabugi, kwanini usimuite huyo balozi wa marekani kisha umtolee macho ili wabadili msimamo wao?
Nchi gani inaweza ku- host Umoja wa Mataifa kwa mfano? Urusi yenyewe inawekewa vikwazo itakuwa hizi nchi za dunia ya tatu?Na ni kinyume na UN charter,nchi moja kuamua kuweka vikwazo nchi nyingine kwa visingizio visivyo na mashiko.
Ikiwezekana nchi wanachama waamue kwa pamoja vikao vya baraza la usalama la UNO view vinahama kila Mwaka ili kukwepa ukiritimba wa nchi moja kuhodhi venue za vikao kunakoweza kupelekea injustices katika maamuzi.
Kwani kuna unpresho gani kwa wajumbe kukutana huko America?Nchi gani inaweza ku- host Umoja wa Mataifa kwa mfano? Urusi yenyewe inawekewa vikwazo itakuwa hizi nchi za dunia ya tatu?
Nchi wanachama zenye kura za veto waache kuzitisha nchi nyingine zisizo na kura ya veto.Kwa maoni yako Umoja wa Mataifa una faida yo yote au unaleta vurugu tu?
Eti tathimini huna lolote.
Nchi wanachama zenye kura za veto waache kuzitisha nchi nyingine zisizo na kura ya veto.
Kwa mfano kama sio ubeberu inawezekanaje nchi za kiafrika zaid ya 53 hakuna hata nchi moja yenye kura ya veto kwa niaba ya Afrika?
Umoja umezipa nguvu nchi za Ulaya,Marekani,Uchina na Urusi.
Just imagine hakuna hata nchi moja ya America ya kusini .....?
Kama ndivyo AU ijitoe tu UN kwa kuwa hawana any say zaidi ya kusemewa na kusakamwa kwa malengo ya kuendeleza unyonyaji.
Acha tabia ya kudharau viongozi
Unadhani kwanini hawajitoi Licha ya hizo kasoro ulizotoaNchi wanachama zenye kura za veto waache kuzitisha nchi nyingine zisizo na kura ya veto.
Kwa mfano kama sio ubeberu inawezekanaje nchi za kiafrika zaid ya 53 hakuna hata nchi moja yenye kura ya veto kwa niaba ya Afrika?
Umoja umezipa nguvu nchi za Ulaya,Marekani,Uchina na Urusi.
Just imagine hakuna hata nchi moja ya America ya kusini .....?
Kama ndivyo AU ijitoe tu UN kwa kuwa hawana any say zaidi ya kusemewa na kusakamwa kwa malengo ya kuendeleza unyonyaji.
October 25, 2019
Dar es Salaam, Tanzania
Prof. Palamagamba Kabudi: Vikwazo vipate baraka ya Umoja wa Mataifa
Prof. Palamagamba Kabudi asema kuwa Vikwazo vinavyowekewa nchi za kiAfrika lazima vipitie kwanza Umoja wa Mataifa na kujadiliwa ktk Baraza la Kuu la Umoja wa Mataifa (UNGA United Nations General Assembly) ili kupata baraka za nchi wanachama wa Umoja wa Mataifa.
Prof. Kabudi anakosoa nchi mmoja au chache kubwa beberu kuamua kuweka vikwazo bila kushirikisha jumuiya ya kimataifa ni njia batili na haikubaliki. Amekosoa vikwazo kuamuliwa na nchi moja beberu maana huathiri kina mama, watoto na wananchi wanyonge zaidi
Vikwazo vinaenda kinyume na mila na desturi za uungwana kwa nchi moja kutangaza vikwazo bila kuhusisha Umoja wa Mataifa au Jumuiya za Kikanda kujadili pendekezo la vikwazo kabla havijatekelezwa.
Kama Marekani na Uingereza wangekuwa na hoja za msingi kuhusu Zimbabwe wangepeleka azimio kwenye Baraza la usalama la Umoja wa Mataifa".Prof. Kabudi.
Source: ITV Tanzania