Ritz inaingia akilini mwako mfano nitukanwe na
Honey K halafu wewe
Ritz uende kumshtaki mahakamani? Mbaya zaidi hata kunishirikisha mtukanwa kama shahidi isifanyeke, kwanini nirukwe hivyo mtukwanwa mwenye haki na hata kama `sijaonyesha dhamira ya kufungua mashtaka dhidi ya mtusi?
Mambo haya tuweke kwanza ushabiki wa kiitikadi kando tujadili kisheria na hata kama taaluma ya kisheria imetupiga chenga, lakini ile kitu inaitwa common sense tu Shvji ameteleza kidogo.
Hoja ya kujenga utetezi tokana na kesi ya Mgonja ni dhaifu katika maana kwamba upembuzi wa sheria na tafsiri hubadilika tokana nawakati, ndio maana kuna mabadiliko ya sheria mara kwa mara licha ya kuongeza mpya kwani wakati ukuta, vinginevyo tusingekuwa na baraza la kudumu la kutunga sheria, maana serikali haijakamilika bila uwepo wa bunge ambao ni mmoja ya mhimili muhimu wa serikali, mhimili ambayo ndio chimbuko la kutathmini mabadiliko ya miundo ya sheria nchini.
Matumaini yangu makubwa umenielewa ingawa unaweza kuja na jibu ambalo kwa sababu zako unaweza ukalitoa kinyume cha uelewa wako, lol.
Enjoyo Holiday
Ritz!