Prof Sospeter Muhongo Akichangia Bajeti Wizara ya Madini Bungeni

Prof Sospeter Muhongo Akichangia Bajeti Wizara ya Madini Bungeni

Stephano Mgendanyi

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2020
Posts
2,833
Reaction score
1,301

MHE. PROF. SOSPETER MUHONGO - LEO BUNGENI DODOMA AKICHANGIA BAJETI WIZARA YA MADINI

Mchango wa Mbunge wa Musoma Vijijini, Mhe. Prof Sospeter Muhongo, umeambatanishwa hapa (CLIP/VIDEO kutoka Bungeni).

Mbunge huyo ameelezea umuhimu wa:

* Sekta ya Madini kuongeza mchango wake kwenye ukuaji wa uchumi wetu

* Umakini kwenye Madini mapya tunayoanza kuchimbwa, aina ya PGM na REE

* State Capitalism - Serikali iwe na migodi inayoimiliki yenyewe (100%) bila ubia.

Tafadhali msikilize Prof. Sospeter Muhongo (kiambatanisho)

Ofisi ya Mbunge
Jimbo la Musoma Vijijini
www.musomavijijini.or.tz

Tarehe:
Ijumaa, 28.4.2023
 

Attachments

  • WhatsApp Video 2023-04-28 at 16.11.26.mp4
    97.7 MB
Back
Top Bottom