Prof. Sospeter Muhongo: LEO BUNGENI - Wizara ya Viwanda na Biashara

Prof. Sospeter Muhongo: LEO BUNGENI - Wizara ya Viwanda na Biashara

Stephano Mgendanyi

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2020
Posts
2,833
Reaction score
1,301

LEO BUNGENI - Wizara ya Viwanda na Biashara

Mbunge wa Jimbo la Musoma Vijijini, Prof Sospeter Muhongo ameongelea bidhaa zinazozalishwa Mkoani Mara, na umuhimu wa ujenzi wa viwanda zaidi ya kumi (10) Mkoani humo.

Vilevile, Mbunge huyo ametoa historia ya Mradi wa Liganga (chuma) na Mchuchuma (makaa ya mawe), na kuishauri Serikali iongeze kasi ya utekelezaji wa mradi huu.

Tafadhali sikiliza mchango wa Prof Muhongo alioutoa Bungeni -CLIP/VIDEO imeambatanishwa hapa.

Ofisi ya Mbunge
Jimbo la Musoma Vijijini
www.musomavijijini.or.tz

P. O. Box 6
Musoma

Tarehe:
Jumanne, 21.5.2024
 

Attachments

  • WhatsApp Video 2024-05-21 at 15.10.01.mp4
    19 MB
Back
Top Bottom