Akilindogosana
JF-Expert Member
- Jan 12, 2020
- 4,303
- 12,679
- Thread starter
- #21
Tume za kula posho za mabilioniHii serikali ya ccm itayaangalia hayo..? Wakisha kula % zao wanatujali sasa. Hili lenyewe ukisikia tu tume imeundwa jua limeeenda hivo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tume za kula posho za mabilioniHii serikali ya ccm itayaangalia hayo..? Wakisha kula % zao wanatujali sasa. Hili lenyewe ukisikia tu tume imeundwa jua limeeenda hivo
OngezaPia mngemfanyia Mahojioano Mhandisi mzoefu wa Ujenzi wa Maghorofa marefu.
Pia mngemfanyia Mahojioano Mtaalam wa Mipango miji
Hao ndio watuhumiwa kabisa.Ongeza
Mmiliki wa jengo na mhandisi wake
Kwa kweli alafu repoti zao sasa ovyo tu. Ila kuwadhibiti chadema wanaweza sanaTume za kula posho za mabilioni
🤣 ni business as usual. Hapo ni kuweka mipango ya kuminya wapinzani na kuharibu uchaguzi na kuiba kura, ili kupata ushindi wa kishindoKwa kweli alafu repoti zao sasa ovyo tu. Ila kuwadhibiti chadema wanaweza sana
Wapo bize wanaharibu uchaguzi nchi nzima.Kwa kweli alafu repoti zao sasa ovyo tu. Ila kuwadhibiti chadema wanaweza sana
Ni hatari mnoUjenzi holela na bado hakuna ukaguzi, ile migunia yote ukiona inaweza support ‘load rate’ ya floor kweli.
Inabidi waanze kukagua magorofa yote kuona watu wanaifadhi stock za namna gani humo ndani na kama jengo linaweza imili.
Kila kitu mzaha Tanzania
Ajabu sanaWapo bize wanaharibu uchaguzi nchi nzima.
NI shda sana hawa mboga mboga🤣 ni business as usual. Hapo ni kuweka mipango ya kuminya wapinzani na kuharibu uchaguzi na kuiba kura, ili kupata ushindi wa kishindo
Wanatafuta ushindi wa wizi 🤣NI shda sana hawa mboga mboga
Wanakasirisha sanaWanatafuta ushindi wa wizi 🤣
Noma sanaWanakasirisha sana