Prof. Tumaini Joseph Nagu ateuliwa Kuwa Mganga Mkuu wa Serikali, Dkt. Florens Martin Turuka bosi mpya DART

Prof. Tumaini Joseph Nagu ateuliwa Kuwa Mganga Mkuu wa Serikali, Dkt. Florens Martin Turuka bosi mpya DART

Sildenafil Citrate

JF-Expert Member
Joined
Jan 29, 2021
Posts
577
Reaction score
2,595
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amemteua Dkt. Florens Martin Turuka, Katibu Mkuu Mstaafu kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakala wa Mabasi Yaendayo Haraka (DART).

Amemteua Bi. Beng’i Mazana Issa kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Mikopo ya Serikali za Mitaa. Bi. Beng'i ni Katibu Mtendaji, Baraza la Taifa la Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi (NEEC).

Amemteua Prof. Tumaini Joseph Nagu kuwa Mganga Mkuu wa Serikali. Kabla ya uteuzi huu Prof. Nagu alikuwa Kaimu Mkuu wa Idara ya Tiba, Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili (MUHAS). Prof. Nagu anachukua nafasi ya Dkt. Aifello Sichalwe ambaye atapangiwa kazi nyingine.

Amemteua Bw. Deusdedit Kamalamo Bwoyo kuwa Mkurugenzi wa Idara va Misitu na Nyuki, Wizara ya Maliasili na Utalii. Bw. Bwovo alikuwa Kaimu Mkurugenzi, Idara ya Misitu na Nyuki.

Amemteua Bw. James Mahanga Sando kuwa Katibu Mtendaji wa Mamlaka ya Rufaa za Zabuni za Umma (Public Procurement Appeals Authority - PPAA). Bw. Sando alikuwa Mkuu wa Kitengo cha Fedha Kampuni ya Crown Accounting and Consulting Firm, Dares Salaam.
90B3A914-018A-430E-8D43-093CB009AA73.jpeg
7B28B23F-7344-4062-BB88-05FA58EA2EEA.jpeg
 
Kuna watu wakiwekwa ofisini nahisi ni mali yao binafsi.Tulienda kwa waziri wa AFYA akatusukuma kwa KATIBU MKUU ,Katibu mkuu akatupeleka kwa Mganga mkuu DR.AIFELO,baada ya hapo tukakwama.
Mkuu poleni, mlikua na tatizo gani ambalo ilikua ama litatuliwe na Waziri, au katibu mkuu, ama mganga mkuu wa serikali na hata mkakwamia kwake na hatimaye kumtwika zigo la lawama... ?
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amemteua Dkt. Florens Martin Turuka, Katibu Mkuu Mstaafu kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakala wa Mabasi Yaendayo Haraka (DART).

Amemteua Bi. Beng’i Mazana Issa kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Mikopo ya Serikali za Mitaa. Bi. Beng'i ni Katibu Mtendaji, Baraza la Taifa la Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi (NEEC).

Amemteua Prof. Tumaini Joseph Nagu kuwa Mganga Mkuu wa Serikali. Kabla ya uteuzi huu Prof. Nagu alikuwa Kaimu Mkuu wa Idara ya Tiba, Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili (MUHAS). Prof. Nagu anachukua nafasi ya Dkt. Aifello Sichalwe ambaye atapangiwa kazi nyingine.

Amemteua Bw. Deusdedit Kamalamo Bwoyo kuwa Mkurugenzi wa Idara va Misitu na Nyuki, Wizara ya Maliasili na Utalii. Bw. Bwovo alikuwa Kaimu Mkurugenzi, Idara ya Misitu na Nyuki.

Amemteua Bw. James Mahanga Sando kuwa Katibu Mtendaji wa Mamlaka ya Rufaa za Zabuni za Umma (Public Procurement Appeals Authority - PPAA). Bw. Sando alikuwa Mkuu wa Kitengo cha Fedha Kampuni ya Crown Accounting and Consulting Firm, Dares Salaam.
View attachment 2394684View attachment 2394685
hapa Wala nguruwe huwezi kusikia wakilalama, maana wameteuliwa wavaa misalaba watupu, hapo wanakenua tu
 
Back
Top Bottom