USSR
JF-Expert Member
- Jul 15, 2015
- 10,904
- 26,184
Mwenyekiti wa chama cha roots na mgombea urais katika uchaguzi uliopita nchini Kenya Profesa George Wajackoyah yupo hapa Tanzania muda mfupi amemaliza kuongea na EATV na kuomba kuonana na Rais Samia ili awekeze katika kilimo cha bangi, profesa Wajackoyah aligombea uchaguzi nchi Kenya kwa sera ya kulifanya zao la bangi kuwanufaisha wakenya na kukili kubwa yeye pia amekuwa mtumiaji mzuri wa madawa hayo ya kulevya tangu akiwa mdogo.
''Niko na jambo ningependa kuanza mazungumzo na Rais Samia na CHADEMA tuangalie kama tunaweza kujenga uchumi wetu maana tuko na bangi nyingi sana na eneo la Kilimanjaro linaweza kuzalisha bangi bora sana duniani'' - Prof. George Wajackoyah, Kiongozi wa Roots.
''Nikipata nafasi ya kumuona Rais Samia nitamshukuru mama yeye ndio mama yetu hapa Afrika Mashariki na ni mtu ambaye tunataka tumkarimu na tumpende. Kenya tutakuja kuwa na mama lakini yeye ndio mama wa kwanza'' -
Prof. George Wajackoyah, Kiongozi wa Roots.
#EastAfricaRadio #SupaBreakfast
USSR
''Niko na jambo ningependa kuanza mazungumzo na Rais Samia na CHADEMA tuangalie kama tunaweza kujenga uchumi wetu maana tuko na bangi nyingi sana na eneo la Kilimanjaro linaweza kuzalisha bangi bora sana duniani'' - Prof. George Wajackoyah, Kiongozi wa Roots.
''Nikipata nafasi ya kumuona Rais Samia nitamshukuru mama yeye ndio mama yetu hapa Afrika Mashariki na ni mtu ambaye tunataka tumkarimu na tumpende. Kenya tutakuja kuwa na mama lakini yeye ndio mama wa kwanza'' -
Prof. George Wajackoyah, Kiongozi wa Roots.
#EastAfricaRadio #SupaBreakfast
USSR