Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 40,905
- 86,203
Kisangani ndio ilikua ngome yake akiongoza RCD Kisangani iliyokua imegawanyika toka RCD GomaMbona husemi UDSM walimuingiza cha kike walipo mtoa marekani alipokua anafundisha kwa mshahara mzito na kumleta Mlimani kwao? Huyu mwamba mara ya mwisho nilimuona 1997 Kisangani alikua na walinzi kibao utadhani makamu wa raisi! Atakumbukwa kwa kua miongoni mwa viongozi wa makundi ya waasi yaliowatesa wakongomani baada ya kuhitilafiana na Kabila.
Mtatiro bado ni kijana sana. Hakuwepo enzi hizo.Au Mtatiro
Nasikia ni moja ya watia nia.Na ndiyo Mwanafunzi ambaye pamoja na kupitia hapo UDSM na ' Kujionyesha ' Kwake kote huku ameacha Rekodi yake ya kuwa na GPA ya 1.3.
Cc: Magonjwa Mtambuka
Nasikia umeshatia nia. Hongera.Kitambo.
Kama enzi hizo miaka ya 1980_1981 ulikuwa primary na wewe umekula chumvi pia🤣🤣🤣Kweli aisee enzi hizo me nilikua primary tu[emoji1787][emoji1787]
Mwaka 1981 uko primary...?Kweli aisee enzi hizo me nilikua primary tu[emoji1787][emoji1787]
Lunatic asshole.
Same applies to the one who gave birth to you.Same applies to the one who gave birth to you.
Wapo kazini humu.Lakini michango yao humu JF ni kama watoto wa Chekechea huku mavuz* yao yameshaota mvi.
HahahaNajaribu kutafuta picha nikiwa na Prof Wamba enzi tuko ktk harakati
@zittojuniorMzee Prof Wamba dia Wamba ,mpambanaji enzi za Mobutu enzi hizo ikiitwa Zaire
Katika Second Congo War ,Prof Wamba alikua moja ya kiongozi wa RCD Goma
Nadhani wajuzi watakuja ongezea wasifu wake mwanaharakati ,mpambanaji na mwanasiasa mahiri Africa
R.I.P Prof Wamba , Mzee wangu ,jirani yangu , Pole sana James Wamba
Cc@zitto junior mng'ato
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji3][emoji3]
Kama Prof kakufundisha na bado unaunga-unga ipo shidaMwalimu wangu jamani Mungu ailaze pahali pema roho yake amen.
Hujaeleweka hata kwani shida iko wapiKama Prof kakufundisha na bado unaunga-unga ipo shida
Kachukue fomuHujaeleweka hata kwani shida iko wapi
Ngazi nilionayo haina haja ya hiyo form yaoKachukue fomu
Wapo kazini humu.
Unajifanya unajua kuandika sio?Kama shida ni kupata mkate wa siku ni bora wakapakuliwe huko watapata pesa nyingi.Kuliko kusubiria buku 7 au laki tano kwa mwezi au kusubiria teuzi.