TANZIA Prof. Wamba Dia Wamba afariki dunia

TANZIA Prof. Wamba Dia Wamba afariki dunia

Roho imeniuma sana sababu nlishawahi pata lectures zake nikiwa udsm miaka hiyo na jamaa zangu wawili wamo humu. Miaka hiyo nafanya masters. Prof alikuwa na madini sana na tulimpenda.sema tu alianza naye kuingiwa na tamaa...otherwise angebak udsm aendelee kupiga pindis mbalimbali za historia na siasa pia.
 
Roho imeniuma sana sababu nlishawahi pata lectures zake nikiwa udsm miaka hiyo na jamaa zangu wawili wamo humu. Miaka hiyo nafanya masters. Prof alikuwa na madini sana na tulimpenda.sema tu alianza naye kuingiwa na tamaa...otherwise angebak udsm aendelee kupiga pindis mbalimbali za historia na siasa pia.
Hahahaha yule anaitwa the guerrilla professor ,Mzee mmoja poa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
huyu prof huyu, waganda walimwingiza cha kike wakimtoa UDSM alipokuwa akifundisha na kumpeleka kwenda kuongoza uasi dhini ya Kabila, mwisho wa siku Wanyarwanda waka m-snitch, akadondokea pua na wafadhiri wake wakamtosa….RIP mwanazuoni
Mbona husemi UDSM walimuingiza cha kike walipo mtoa marekani alipokua anafundisha kwa mshahara mzito na kumleta Mlimani kwao? Huyu mwamba mara ya mwisho nilimuona 1997 Kisangani alikua na walinzi kibao utadhani makamu wa raisi! Atakumbukwa kwa kua miongoni mwa viongozi wa makundi ya waasi yaliowatesa wakongomani baada ya kuhitilafiana na Kabila.
 
Back
Top Bottom