TANZIA Prof. Wamba Dia Wamba afariki dunia

TANZIA Prof. Wamba Dia Wamba afariki dunia

R.I.P Pof.

Nakumbuka kamati yetu ya Free Wamba dia Wamba pale Mlimani iliyoongozwa na Prof. Ken Edwards (Mghululi) R.I.P, Prof. Horace Campbell, na Ebehard Chambulikazi R.I.P.
Hizo zilikuwa enzi.
Kumbe mkuu wewe ni mkongwe!
 
Ila humu JF watu wamekula chumvi balaa
Ndiyo maana ni kosa kudhania kila mtu ni wa rika lako.
Tuchangie kwa kuheshimaina na kwa staha. Unaweza kukuta unatukana waalimu wako huku ukiwaambia kama wewe upo mbumbumbu hivi wanafunzi wako ni aibu tupu, yaani utopolo.
Kumbe mkuu unajipondea mwenyewe bila kujijua,
We call it just "shoot yourself in the foot".

shoot yourself in the foot
-to do something without intending to which spoils a situation for yourself.
 
Dah! Majonzi tele.

Wakongwe wa ile idara wanapukutika.

Nadhani waliobaki kwa sasa ni Josephat Mbwiliza, Isaria Kimambo, Nestor Luanda, na Frederick Kaijage.

Mishambi, Tambila, Mlahagwa, na sasa Wamba...wote ni marehemu!

Pumzika kwa amani jirani!
 
Back
Top Bottom