GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
GENTAMYCINE ANTIBIOITIQUE
[emoji28][emoji28][emoji28]Apige calculation beer Ina chapati ngapi.
Beer 10 = chapati 700 kwa siku.
10x700x umri wako x30x 12
Mkuu usiogope! magonjwa yanategemea sana uimara wa genes zako.. kama genes zako ni dhaifu magonjwa hayakwepeki kwako hata uishi sehem nzuri aje..Tujiandaeni tu Kufa / Kufariki kuanzia sasa. Kinachoniuma GENTAMYCINE nimeanza kuinywa hii Soda ya Pepsi tokea nikiwa Chalii ( Mdogo ) hadi huu Uzee wangu na nikipiga Hesabu za haraka haraka kwa Mahesabu ya huyu Profesa mpaka sasa ( leo ) nitakuwa nimeshakunywa Vijiko Milioni 750 vya Sukari ipatikanayo katika Soda inayotangazwa mno Tanzania ya Pepsi.
Asanteni Pepsi kwa kuturahisishia Vifo na Misiba yetu kwa Sukari yenu nyingi / kubwa iliyoko katika Soda yenu hii.
Kazi ipo hakyanani......!!
Tumeshakufa.12.5g*8= 100g
Kwahiyo mtaalam anataka kusema chupa moja ya pepsi inatumia gm 100 za sukari..?😎😎View attachment 2781275
Ana Akili mpaka anakera. Abarikiwe!!!Profesa Janabi Mkurugenzi wa Muhimbili nipo namsikiliza hapa huwa anaongea point sana
GENTAMYCINE ANTIBIOUTIQUEPurely Talented,charismatic fella,Game changer and Entertainer
Precisely.Watu wengi wakifka unri wa uzee wao basi sukari na chumvi walizotumia kwa wingi ndiyo zitaanza kuwasumbua
Beer gani! to be specific?Apige calculation beer Ina chapati ngapi.
Beer 10 = chapati 700 kwa siku.
10x700x umri wako x30x 12