bongo dili
JF-Expert Member
- Feb 13, 2015
- 12,350
- 25,180
Kama unatoka jasho haina shida kunywa tu Pepsi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ila IPP unawakubali sanaGENTAMYCINE ANTIBIOUTIQUE
beer carbs inakuwa fermented into alcoholApige calculation beer Ina chapati ngapi.
Beer 10 = chapati 700 kwa siku.
10x700x umri wako x30x 12
Local beer madam 🤴 princeBeer gani! to be specific?
Beer 🍺 je?Kuna animations utaskia mtu mmoja anasema "We are all gonna die!" 🤣🤣🤣
Anyway nilishaanza kupunguza matumizi ya soda na vinywaji vya ukoo mmoja na soda inapita hata wiki nimekunywa moja au sijanywa kabisa na wakati mwingine mwezi mzima. Nimepunguza matumizi ya sukari kwa kiwango kikubwa pamoja na chumvi nimeanza kutumia wastani na sio chumvi mbichi bali iliyopikwa vizuri. Nliona huko mbele mambo yatakuwa sio mambo afya muhimu.
Hesabu ni janga la taifaApige calculation beer Ina chapati ngapi.
Beer 10 = chapati 700 kwa siku.
10x700x umri wako x30x 12
Sijawahi kutumia bia, nliwahi kuonja nikiwa mdogo tena nyumbani kabisa, sikuona raha yake.Beer 🍺 je?
Mkuu nimecheka mpaka basi kwa hii Post yako. JamiiForums raha sana hakyanani.....!!Ninavyoipenda peps baridi acha ninywe tu kila nafsi itaonja mauti
Na kwenye kupenda Mbunye pia umepona?Huku nimepona nilishasahu soda ina ladha gani
Hawana Ngendembwe / Longo Longo.Ila IPP unawakubali sana
Mkuu kufa kupo tu, huyu atakuambia nyama nyekundu hatari, mwingine atasema msile kitimoto sasa tutaponea wapi, uzuri wake unaweza epuka vyote ukakutwa umefia kifuan kwa mwanamkeMkuu nimecheka mpaka basi kwa hii Post yako. JamiiForums raha sana hakyanani.....!!
You really deserve to be a Comedian.Mkuu kufa kupo tu, huyu atakuambia nyama nyekundu hatari, mwingine atasema msile kitimoto sasa tutaponea wapi, uzuri wake unaweza epuka vyote ukakutwa umefia kifuan kwa mwanamke
Kama kuipenda ni ugonjwa tafadhali Sana nisipewe dawa, tafadhalini SanaNa kwenye kupenda Mbunye pia umepona?
Umesikia hivi ya ulaji wa matunda??Ana Akili mpaka anakera. Abarikiwe!!!
NI mmoja ya watu ambao huwa natenga muda kuwasikiliza huko mjini youtubeAna Akili mpaka anakera. Abarikiwe!!!
Kama kuipenda ni ugonjwa tafadhali Sana nisipewe dawa, tafadhalini Sana
Atuache... ata usipokunywa soda utakufa tuuTujiandaeni tu Kufa/ Kufariki kuanzia sasa. Kinachoniuma GENTAMYCINE nimeanza kuinywa hii Soda ya Pepsi tokea nikiwa Chalii (Mdogo) hadi huu Uzee wangu na nikipiga Hesabu za haraka haraka kwa Mahesabu ya huyu Profesa mpaka sasa (leo) nitakuwa nimeshakunywa Vijiko Milioni 750 vya Sukari ipatikanayo katika Soda inayotangazwa mno Tanzania ya Pepsi.
Asanteni Pepsi kwa kuturahisishia Vifo na Misiba yetu kwa Sukari yenu nyingi/ kubwa iliyoko katika Soda yenu hii.
Kazi ipo hakyanani.