Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa lugha ya sasa...Siyo ZuzuWaabudiao maiti iliofukiwa Chato watamtukana huyu mzee mpaka basi.
Professor Assad ni SHUJAA..
Hana umaarufu wowote,yeye abaki kwenye uhasibu wake.Naona pro Asad anatafuta njia ya kuanzisha chama chake cha "Alal Jamaa". Kwa sasa anapima upepo wa umaarufu wake katika jamii.
Kwani kipindi anauza,alikuwa Rais mkuu? Si alikuwa anatumwa hatahivo mlalamikaji CAG kasema baraza la mawaziri walimshauri Rais wa wakati huo,na akabariki kwa nini jumba bovu anaangushiwa hayati. Yeye mwenyewe kanunua nyumba kule Tanga kwa utaratibu huohuo. Si angelisubiri bunge liidhinishe?Muuzaji mkuu nilimsikia kwa masikio yangu akiahidi kuuza na haya majengo mengine ya serikali yaliyopo Dar baada ya mchakato wa kuhamia Dodoma kukamilika. Sidhani kama issue ya kulihusisha Bunge ilikuwemo akilini mwake upo uwezekano mkubwa njia iliyotumika awali ndiyo ambayo ingetumika tena this time. Safari hii huenda ingekuwa rahisi zaidi maana yeye ndiyo angekuwa mtu wa mwisho.
Bwana yule hakujua kutofautisha kati ya mali zake binafsi na mali za watanzania zilizokuwa chini ya dhamana yake kutokana na nafasi yake. Vyote aliviona ni sawa ndiyo maana alikuwa na audacity ya kutamka hayo niliyoeleza para ya kwanza. Infact upo uwezekano akilini mwake alituona watanzania wote tu mali yake pia ndiyo maana alitaka wote tuwaze kama yeye ukiwaza tofauti basi wewe ni adui. Lakini ashukuriwe yule mwenye hati miliki ya pumzi yetu sote mipango yake ilikuwa tofauti na aliyeenda. Vinginevyo sijui hiyo 2025 tungefika tukiwa na hali gani na baada ya hapo ni nini kingeendelea hatujui pia labda kiongozi wa mazuzu pekee ndiyo analijua hili.
Wewe unafikir anayohoji ni ya UONGO au kweli???Huyu prof atulie tu,mbona alivyokuwepo Magu hakuwahi kufungua kinywa chake
Kwa nini nae hakusema pale kuwa hajui matumizinyake kwa sababu wameshindwa kumpatia?Ripoti ya Prof. Asadi ilikuwa inasema 1.5Tr haieleweki matumizi yake.
Magu akamuuliza kuna pesa zimeibiwa?
Hayo ni maudhui 2 tofauti. Yeye akajibu hakuna zilizoibiwa. Ripoti yake inasema matumizi yake hayaeleweki.
Professor wa Mtambani huyu, majungu na fitina mwanzo mwisho.Sakata la uuzaji wa nyumba za Serikali limeibuliwa upya na aliyekuwa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Profesa Musa Assad akikosoa utaratibu uliotumika kuziuza.
Dodoma. Utaratibu uliotumika kuuza nyumba za Serikali umekosolewa kutokana na kutolihusisha Bunge kama chombo cha wawakilishi wa wananchi.
Hayo yameelezwa na aliyekuwa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Serikali (CAG), Profesa Musa Assad ambaye amesema mchakato huo ulihusisha Baraza la Mawaziri na Makatibu wakuu huku Bunge likiwekwa pembeni.
Akizungumza kwenye mdahalo ulioandaliwa na Mtandao wa Asasi za kiraia uliojikita katika kuchagiza uwajibikaji kwenye uziduaji (Hakirasilimali) katika wiki ya Azaki inayofanyika mjini Dodoma.
Amesema Serikali imeuza nyumba hizo na mchakato ulikuwa ni baraza la mawaziri wakishauriwa na makatibu kutengeneza waraka na kupeleka kwa Rais ili akubali kuuza nyumba hizo.
“Nani kakuruhusu? Ni mawaziri na makatibu wakuu. Kwanini halizungumzwi sasa jambo hilo. Lingekuwa wazi tungesema hilo haliwezekani lakini tumekaa kimya na hakuna mtu ambaye amesema hili jambo lazima lirudi bungeni tulizungumze ili tutoe ruhusa maalum jambo hili lifanyike ama lisifanyike,” amesema Profesa Assad
Chanzo: Mwananchi
Alimuhofia dikteta mwehu kipindi hikoProfessor wa Mtambani huyu, majungu na fitina mwanzo mwisho.
Huyu ni Mnafki Mwandamizi anayejaribu kumuanzishia hoja mtu ambaye wala hayupo Duniani na hawezi kujitetea.
Huyu angekuwa Prof halisi na "upstairs" kuko vizuri angeileta hoja hii wakati mlengwa yuko hai.
😀 😀 😀 Ana muiga jiwe alivyokua anaongea.Kama kuandika kweli kweli inakushinda huwezi kumuelewa Prof
Ahahah hivi ile bakora yake huwa anaenda nayo bungeni?Yaani kuna mtu pale mjengoni anazidi kufura kama kifutu akimsikia huyu mwamba [emoji12][emoji12][emoji12]
Naskia anataka muita maadilini tena.Ahahah hivi ile bakora yake huwa anaenda nayo bungeni?
Acha upuuzi ewe maamuma.. huyo magu wenu mnadhani alikuwa Mungu.. kila kitu kisemwe.
- Ule wizi wa 1.5trilion kipindi cha Shujaa wenu, aliusemea kipindi cha Nyerere?
Ukifungua kinywa mbele ya mjinga anaweza kukutoa macho@weruweru hotel
Huyu ni profesa uchwala sana ila ana wafuasi wanoamini kila anachosema. Anasumbuliwa sana na kunyimwa nafsai ya pili ya ua-CAG. Uatadhani elimu yake yote anayojivunia ilikuwa ni ya kuwa CAG wa miaka kumi ! Bure kabisa!!!Huyu prof atulie tu,mbona alivyokuwepo Magu hakuwahi kufungua kinywa chake
Kwanza sijui kwa Nini mnamwita Profesa Hana akili za kufikia uprofesa Hadi anaondoka chuo kikuu alikuwa Associate Professor sio Profesa ni sawa na kumwita luteni kanali wa Jeshi kuwa ni kanali Na yeye huwa anachekelea tu kuitwa Professor wakati sio ilibidi Kama ni mkweli kwa nafsi yake na dini yake akatae kuitwa ProffesorHuyu prof atulie tu,mbona alivyokuwepo Magu hakuwahi kufungua kinywa chake
Mazuzu Ndio waliomwajiri .Bunge ndio.liliidhinisha awe CAG huo u CAG ambao kutwa anaulilia ajira hiyo alipewa na Bunge .Raisi alimteua jina likapelekwa bungeni wakaidhinisha kuwa awe CAG.Leo anawatukana na kuwaita mazuzu hivi huyu akili kichwani ziko kweli?Ana haki ya kuliita Bunge DHAIFA la MAZUZU
We ni PIMBI toka lini CAG anaidhinishwa na bunge la maZUZUMazuzu Ndio waliomwajiri .Bunge ndio.liliidhinisha awe CAG huo u CAG ambao kutwa anaulilia ajira hiyo alipewa na Bunge .Raisi alimteua jina likapelekwa bungeni wakaidhinisha kuwa awe CAG.Leo anawatukana na kuwaita mazuzu hivi huyu akili kichwani ziko kweli?
Haivi na Raisi Magufuli haivi na Bunge hivi hapo.kuna mtu hapo? U CAG alipewa kwa bahati mbaya