Profesa Assad bado anautamani uCAG? maana anaongea utadhani Kicheere hayupo!

Profesa Assad bado anautamani uCAG? maana anaongea utadhani Kicheere hayupo!

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Prof Assad anaongea sana hana tofauti na Tundu Lisu.

CAG Kicheere ameshatufafanulia wananchi kilichojiri katika ripoti yake na watanzania wamemuelewa lakini bado CAG aliyemaliza muda wake anarudia tena yale yale .

Assad endelea kusimamia taaluma hapo chuo cha Tanesco mwache Kicheere afanye yake!
 
Prof Assad anaongea sana hana tofauti na Tundu Lisu.

CAG Kicheere ameshatufafanulia wananchi kilichojiri katika ripoti yake na watanzania wamemuelewa lakini bado CAG aliyemaliza muda wake anarudia tena yale yale .

Assad endelea kusimamia taaluma hapo chuo cha Tanesco mwache Kicheere afanye yake!
Amewaumbua vizuri sana mzee wetu kuwa malaika wenu alihujumu rasilimali zetu.

,
 
Prof Assad anaongea sana hana tofauti na Tundu Lisu.

CAG Kicheere ameshatufafanulia wananchi kilichojiri katika ripoti yake na watanzania wamemuelewa lakini bado CAG aliyemaliza muda wake anarudia tena yale yale .

Assad endelea kusimamia taaluma hapo chuo cha Tanesco mwache Kicheere afanye yake!
Kila anaye wakosoa mnamuona ni mbaya
 
Prof Assad anaongea sana hana tofauti na Tundu Lisu.

CAG Kicheere ameshatufafanulia wananchi kilichojiri katika ripoti yake na watanzania wamemuelewa lakini bado CAG aliyemaliza muda wake anarudia tena yale yale .

Assad endelea kusimamia taaluma hapo chuo cha Tanesco mwache Kicheere afanye yake!
Anaongea kama mwananchi wa kawaida...kama wewe na mimi tunayoposti hapa..tusichukuliane binafsi........haitaki hasira. Kila mtu ana umuhimu wake. Mkuu
 
Muache acheue maan alitoa bila Sababu za msingi, Kama hakutoa la Moyon kpnd kle , Acha aseme Sasa.
 
Prof Assad anaongea sana hana tofauti na Tundu Lisu.

CAG Kicheere ameshatufafanulia wananchi kilichojiri katika ripoti yake na watanzania wamemuelewa lakini bado CAG aliyemaliza muda wake anarudia tena yale yale .

Assad endelea kusimamia taaluma hapo chuo cha Tanesco mwache Kicheere afanye yake!
Assad na yeye alikua anafafanua kuhusu mchakago wa report yake ya awali.

Nyie mataga pori mmehamaki sana baada ya mfalme wenu kubaki uchi.
 
Prof Assad anaongea sana hana tofauti na Tundu Lisu.

CAG Kicheere ameshatufafanulia wananchi kilichojiri katika ripoti yake na watanzania wamemuelewa lakini bado CAG aliyemaliza muda wake anarudia tena yale yale .

Assad endelea kusimamia taaluma hapo chuo cha Tanesco mwache Kicheere afanye yake!
Amefurahishwa na ya kichere kwani enzi zake alizibwa mdomo.
 
Dogo umerudi tena na ujuha wako.

Tambua kwamba Prof Assad ni raia wa Tanzania kama wewe, na ni mlipa kodi kama wewe. Halafu kwanza Prof Assad sio size yako wewe mzururaji wa buza usiekuwa na mbele wala nyuma, uliemshinda shetani na wafuasi wake, kutwa kucha kuzurura tu mitaa ya JF, huna mchongo kama kunguni mchana kutwa kazi ni kujaza server za JF na utopolo wako. Tafuta wengine size yako kuwakosoa kama kina Magonjwa Mtambuka

Nikuamshe kichwa chako,

1) Prof Assad ni mlipa kodi kama raia wengine, hivo ana haki ya kuichambua taarifa ya CAG kuhusu matumizi ya hela za walipa kodi pale anapojisikia.

2) Ni mwalimu aliemfundisha maswala ya Uchumi CAG Kachere pale UDSM, ana haki ya kumtoa kasoro mwanafunzia wake (Japo katika speech yake hajamtoa kasoro yoyote ya kiutendaji CAG Kachere wala hajamponda, na siku zote huwa anasema katika Wanafunzi wake aliowasomesha wapo vizuri kichwani ni CAG Kachere).

3) Ameongea ukweli ili wananchi na taasisi aliokua akiongea nayo pale, wajue kipindi yeye ni CAG ni mambo gani alifanyiwa kama hujuma kwa Ofisi Ya CAG na TAIFA.

4) Kama Prof Assad kama raia mwema wa taifa lake, ana haki ya kumtoa kasoro Rais wa nchi yake pale anapomuona amekosea (Ili Marais Wengine wasirudie makosa yale).

5) Kipindi cha Utawala wa Kikoloni & Utumwa (The Magufuli Era) hapakua na uhuru wa kumkosoa mkoloni wa chato wala kuikosoa serikali. Sasa ndio nafasi imepatikana ya kutoa sumu vifuani.

6) Hajawaita waandishi wa habari kuwaeleza hayo, wao ndio wamemtafuta katika hadhara zake.

7) Prof Assad ana kazi nyingi (lecturer, Advisor, Board Of Director) na mikataba mingi sana inayo muingizia hela zaidi ya mshahara wa CAG.

7) ACHA UJUHA WAKO, WEWE NA MAFISADI WANA CCM WENZAKO, TULIENI ILI DAWA IINGIE VIZURI, MKIPAPATIKA MTAUMIA!!!
 
Ni Mtanzania ana haki ya kutoa maoni yake.

Tatizo hii haki imeminywa miaka hii mitano mpaka mmesahau kama ipo.

Jadili anachosema, achana na CV yake.
 
Hata mia hawana maana mfadhili wao ndiyo hivyo katangulia mbele ya haki.
Kama kuna ukweli mkuu Mmawia hawa viumbe wanataka uwajibu ukiwa una enjoy maisha kama hivi,

Unajua kwa sasa hali si hali na kuna kitu kitalipuliwa soon

Sasa paymaster ndo hivyo tena, hapa inafuatiliwa ile pesa ambayo ilikusanywa kwa wenye bureau exchange na kuekwa katika akaunti zenye majina ya watu.
 
Prof Assad anaongea sana hana tofauti na Tundu Lisu. CAG Kicheere ameshatufafanulia wananchi kilichojiri katika ripoti yake na watanzania wamemuelewa lakini bado CAG aliyemaliza muda wake anarudia tena yale yale . Assad endelea kusimamia taaluma hapo chuo cha Tanesco mwache Kicheere afanye yake!
Bwashee, hakuna “lock” tena lazima watu waongee!
 
Prof Assad anaongea sana hana tofauti na Tundu Lisu.

CAG Kicheere ameshatufafanulia wananchi kilichojiri katika ripoti yake na watanzania wamemuelewa lakini bado CAG aliyemaliza muda wake anarudia tena yale yale .

Assad endelea kusimamia taaluma hapo chuo cha Tanesco mwache Kicheere afanye yake!
Mussa Assad ana gubu sana
 
Back
Top Bottom