Profesa Assad bado anautamani uCAG? maana anaongea utadhani Kicheere hayupo!

Profesa Assad bado anautamani uCAG? maana anaongea utadhani Kicheere hayupo!

Kwani Assad aliita vyombo vya habari kutaka awahutubie wananchi?

Wanahabari wanamfuata na kumwuliza mambo mbalimbali ambayo wanaamini yeye anayafahamu, wewe unataka asiwajibu?

Watu wakimfuata Kikwete kutaka kusikia maoni yako juu ya masuala ya uongozi wa nchi hii, mnataka asiseme lolote kwa sababu kuna Rais? Fikra za kijinga kabisa. Mbona Mwalimu Nyerere alitolea ufafanuzi wa mambo mengi wakati akiwa tayari ameng'atuka?

Kutaka watu wasiongee ndiyo primitivity yenyewe. Ni ushamba wa kuamini kuwa kuna watu wengine ni binadamu zaidi ya wengine, na hivyo ni hao tu wanaostahili kuongea, na wengine ni wa kusikiliza tu! Ujinga wa namna hiyo tusiukubali. Watu wawe na uhuru wa kutoa maoni yao. Kama watakuwa wamekosea, wapingwe au wasahihishwe kwa hoja zilizo sahihi, na siyo kwa kuwafunga midomo.

Hayati Rais Magufuli aliiharibu nchi kutaka kuiondoa kutoka kwenye ustaarabu wa mwanadamu, na kuipeleka kwenye animals kingdom, ambako mwenye maguvu huamua chochote, hata kumla asiye na nguvu.
 
Prof Assad anaongea sana hana tofauti na Tundu Lisu.

CAG Kicheere ameshatufafanulia wananchi kilichojiri katika ripoti yake na watanzania wamemuelewa lakini bado CAG aliyemaliza muda wake anarudia tena yale yale .

Assad endelea kusimamia taaluma hapo chuo cha Tanesco mwache Kicheere afanye yake!
chawa kama ninyi ndio mlimpoteza MWENDAZAKE, pumbav kabisa.
 
Prof Assad anaongea sana hana tofauti na Tundu Lisu.

CAG Kicheere ameshatufafanulia wananchi kilichojiri katika ripoti yake na watanzania wamemuelewa lakini bado CAG aliyemaliza muda wake anarudia tena yale yale .

Assad endelea kusimamia taaluma hapo chuo cha Tanesco mwache Kicheere afanye yake!
Prof katujulisha kuwa MATAGA mna acquired Stupidity ndiyo maana kila siku mnaanzisha siredi za kipumbavu pumbavu
 
Kwani Assad aliita vyombo vya habari kutaka awahutubie wananchi?

Wanahabari wanamfuata na kumwuliza mambo mbalimbali ambayo wanaamini yeye anayafahamu, wewe unataka asiwajibu?

Watu wakimfuata Kikwete kutaka kusikia maoni yako juu ya masuala ya uongozi wa nchi hii, mnataka asiseme lolote kwa sababu kuna Rais? Fikra za kijinga kabisa. Mbona Mwalimu Nyerere alitolea ufafanuzi wa mambo mengi wakati akiwa tayari ameng'atuka?

Kutaka watu wasiongee ndiyo primitivity yenyewe. Ni ushamba wa kuamini kuwa kuna watu wengine ni binadamu zaidi ya wengine, na hivyo ni hao tu wanaostahili kuongea, na wengine ni wa kusikiliza tu! Ujinga wa namna hiyo tusiukubali. Watu wawe na uhuru wa kutoa maoni yao. Kama watakuwa wamekosea, wapingwe au wasahihishwe kwa hoja zilizo sahihi, na siyo kwa kuwafunga midomo.

Hayati Rais Magufuli aliiharibu nchi kutaka kuiondoa kutoka kwenye ustaarabu wa mwanadamu, na kuipeleka kwenye animals kingdom, ambako mwenye maguvu huamua chochote, hata kumla asiye na nguvu.
MATAGA mna shida, sasa nani kakwambia ASSAD nataka ajira, ni anafundisha vyuo vikuu zaidi ya vinne. ana mafao ya marekanani na u- cag wa bongo, wanawe wote wapo wanafanya kazi canada na marekani, mtu wa swala 5 hana uhuni kama wenu nyie mataga
 
Watanzania tusifike huko bwana, inamaana mtu asiongee lake la moyoni? Na ukizingatia alinyanyaswa sana kisa tu alisimamia maadili ya kazi yake
 
Back
Top Bottom