Je na wewe tukuite chogo? Pamoja na kuvaa kwako mawigi lakini wengine tunakijuwa kichwa chako kipo kama cha Baba Chupaki.
Sent from my GT-I9192 using Tapatalk
Mi hata hua sijui magari naona kawaida tu ila amelizidi V8 la domo
Hivi ni prof wa nini kweli huyu chameleone?
Sent from my iPhone using JamiiForums app
Pimped ndo nini mkuuHio gari ya kawaida Sana sema iko pimped!! Hata m100 haifiki!
chamilione ni Profesor? mmh
Escalade ni gari ya kawaida sana. Hiyo pimp iliyopigwa na majina kubandikwa hata bongo pale lumumba unafanyiwa.
Dr. . . . . . ahahahaaa asanteee
Siku hizi anajiita profesa. Mimi nimeamua nijiite Dr ........
Profesa kamilioni? Dr nchimbi, dr kikw.ete, profesa maji marefu, list goes on...