Dejane
JF-Expert Member
- Jan 1, 2014
- 50,587
- 71,492
Je na wewe tukuite chogo? Pamoja na kuvaa kwako mawigi lakini wengine tunakijuwa kichwa chako kipo kama cha Baba Chupaki.
Sent from my GT-I9192 using Tapatalk
Yeye mwenyewe hujiita domo hata kama ningekua na kichwa kama cha samterela shida iko wapiii hahahhhhaha siku watu kama nyie hamnishituiiii kabisaa