Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mkuu usipende kurahisisha mambo!...gari la kawaida kuliona,kuliandika,kuligoogle au kulinunua?Escalade ni gari ya kawaida sana. Hiyo pimp iliyopigwa na majina kubandikwa hata bongo pale lumumba unafanyiwa.
Hio gari ya kawaida Sana sema iko pimped!! Hata m100 haifiki!
hiyo gari siyo ya kawaida mzee, acha ubishi usio na tija!! lazima uwe na pesa mingi sana kulinunua na kulimiliki, service yake tuu unanuna vitzEscalade ni gari ya kawaida sana. Hiyo pimp iliyopigwa na majina kubandikwa hata bongo pale lumumba unafanyiwa.
muulize ziko ngapi hapa Tz hizo Escalade??
hahahah kwahiyo kununua gari la gharama ndo kujua nini maana ya usanii....basi chuo cha sanaa bagamoyo wengi hawajui maana ya usanii!hahahhah wewe utakuwa mmakonde tu!
Mkuu acha kuchekesha hiyo gari ni Cadillac Escalade ata msanii wa Uganda Bob Wine anayo na alinunua kwa pesa zaidi ya million 900 uganda shillings.
Hio gari ya kawaida Sana sema iko pimped!! Hata m100 haifiki!
Mi hata hua sijui magari naona kawaida tu ila amelizidi V8 la domo
hahahah kwahiyo kununua gari la gharama ndo kujua nini maana ya usanii....basi chuo cha sanaa bagamoyo wengi hawajui maana ya usanii!hahahhah wewe utakuwa mmakonde tu!