Profesa Chameleone anunua gari lenye thamani ya bilioni kadhaa!

Profesa Chameleone anunua gari lenye thamani ya bilioni kadhaa!

Wengine wivu tu ukoo mzima hamna gari ka hilo then mnaponda,dah roho hizi




Sent from Nokla using Jf app
 
Hata kama si ya kawaida, lazima tuwe wakweli unaposema hili gari thamani yake ni Billioni!! Huo si ukweli, hiyo siyo thamani ya hilo gari.... na tunasema la kawaida kwa sababu there is nothing special with it ambacho hatukioni kila siku hapa mjini, it doesnt matter if we can afford it or not... the point there it's not worth A Billion and it is nothing special...

B ya UG ni sh ngap ya tz? Inaweza kuwa m20 eh, kwa ukata huu hata ya above 50m ni gari kali kwangu despite kweli au sio kweli! Big up lwa huyo jamaa kumbe mziki deal mweee




Sent from Nokla using Jf app
 
B ya UG ni sh ngap ya tz? Inaweza kuwa m20 eh, kwa ukata huu hata ya above 50m ni gari kali kwangu despite kweli au sio kweli! Big up lwa huyo jamaa kumbe mziki deal mweee

Kweli ndugu, despite all the talk, bado ni gari kali...
 
mkuu wewe unamiliki gari aina gani kwakuwa umesema 150m ni gari lakawaida yani kwa thamani
namiliki kijigari mkweche kimoja kinaitwa Nissan Murano walau kinanisaidia shughuli zangu za kufika shambani mkuu. kinanitosha walau sihitaji Escalade, Cardilac wala Lamborghini
 
Hata kama si ya kawaida, lazima tuwe wakweli unaposema hili gari thamani yake ni Billioni!! Huo si ukweli, hiyo siyo thamani ya hilo gari.... na tunasema la kawaida kwa sababu there is nothing special with it ambacho hatukioni kila siku hapa mjini, it doesnt matter if we can afford it or not... the point there it's not worth A Billion and it is nothing special...
Good point!
 
Wengi wanaponda wakati hata Passo hamna,Ukiambiwa ununue Rim moja tu ya hyo gari mwaka mzima unaweza ukalala njaa na usinunue wabongo tuache jeuri,umasikini jeuri ni msemo tu usikupe kiburi,big up prof jose hayo ndio maisha.
 
You've nailed it bro. Tena Ukizingatia escalade yenyewe kwenye picha ni old model.
Hakika ukanda huu wa dunia celebs wetu wanahitaji kuelimishwa kuhusu magari. Wakipata muda waende na kuspend japo weekend moja kule Ocean Avenue, south beach, Hollywood Boulevard, in Hollywood au Vegas strip. Labda baada ya hapo hawatakuja kutupigia kelele mjini na huu ujinga wa Escalade na Jeeps
Escalade kumbe inatumika kama uber pia
 
Mmmmh.
IMG_20210625_155255.jpg
IMG_20210625_141200.jpg
IMG_20210625_141142.jpg
IMG_20210625_141119.jpg
IMG_20210625_141055.jpg
IMG_20210625_141023.jpg
IMG_20210625_141001.jpg
IMG_20210625_140940.jpg
IMG_20210625_140909.jpg
 
Gari ya kawaida mnayo??? wabongo bana ndo maana hatubarikiwi kwa roho za korosho.. ajabu nini kumsifia kutokana na kazi yake angeiba mngemsema pia.
Kwani kusema gari hiyo ni yakawaida ni dhambi??. Kwani ni tusi?.
 
Back
Top Bottom