Litro
JF-Expert Member
- Nov 18, 2018
- 1,080
- 2,248
utakua wa mkoani sana mkuuRIP prof.
Kumbe Dar kuna Mzumbe chuo pia? Sikua najua hili mie.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
utakua wa mkoani sana mkuuRIP prof.
Kumbe Dar kuna Mzumbe chuo pia? Sikua najua hili mie.
Mzee mwenzangu nimeliona hili watoto na vijana hawabanwi pumzi kabisa!Vijana na watoto ni cariazi wa changamoto hii...jitenge nao otherwise wafwaaa....mzee mwenzangu!!
Wenyewe hawafi...we umeshaskia katoto kamelazwa ati kanaomba oxygen ili kapumue?
Na yeye nini tena,?Profesa wa Chuo Kikuu cha Mzumbe, George Shumbusho amefariki dunia leo Jumatano Februari 24, 2021 katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (MNH) jijini Dar es Salaam alikokuwa akipatiwa matibabu.
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Profesa Ganka Nyamsogoro ambaye ni Kaimu Makamu Mkuu wa Chuo hicho amesema Profesa Shumbusho aliyekuwa Rais wa Ndaki ya Mbeya, amefariki saa 6:30 mchana.
Profesa Honest Ngowi, Rasi wa Chuo Kikuu Mzumbe Kampasi ya Dar es Salaam (MUDCC) amesema Taifa limepoteza msomi katika lugha ya mawasiliano aliyebobea kwa miaka mingi.
“Alinifundisha shahada yangu ya kwanza Mzumbe miaka ya 1990, baadaye tumeendelea kuwa pamoja Mzumbe na yeye akapelekwa kuwa Rasi wa Mzumbe Mbeya na mimi nikaletwa Dar es Salaam, lakini kwa ujumla alikuwa makini, mtafiti mzuri sana, ni majonzi na Taifa limepoteza mtu muhimu,” amesema.
Chanzo: Mwananchi
Naona Safari hii inaenda Sana na wasomi
Campus ipo UpangaRIP prof.
Kumbe Dar kuna Mzumbe chuo pia? Sikua najua hili mie.
Hahahaha imebidi nicheke kwanza, ndipo nirudi kwenye undani wa uziRasi
Ndaki
Misamiati naomba ufafanuzi
tunabaki mazumbukuku wazungu watuibie vizuri
Mimi yatimaWasiokuwa na majina, vyeo au kutambulika aka kina yakhe utawasikia je hapa?