TANZIA Profesa George Shumbusho afariki dunia

Vijana na watoto ni cariazi wa changamoto hii...jitenge nao otherwise wafwaaa....mzee mwenzangu!!

Wenyewe hawafi...we umeshaskia katoto kamelazwa ati kanaomba oxygen ili kapumue?
Mzee mwenzangu nimeliona hili watoto na vijana hawabanwi pumzi kabisa!

Wanajazana lecture halls, na mabwenini wapo wanadunda hawapigi hata chafya.

Everyday is Saturday............................... 😎
 
Na yeye nini tena,?
 
Baba wakwe zetu watalajiwa mbona wanaisha hivi? Hawa ndo tunategemea watutolee mahari za watoto zao ( wachumba zetu) sasa inakuwaje?

Pole wafiwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…