Profesa Ibrahim Lipumba awaomba radhi Wazanzibar, yupo tayari kuachia Uenyekiti wa CUF

Profesa Ibrahim Lipumba awaomba radhi Wazanzibar, yupo tayari kuachia Uenyekiti wa CUF

Ni habari mbaya kwa ACT wazalendo.
Lipumba amesoma alama za nyakati na kuamua kwenda na upepo unapovuma.
Kisiasa tunasema ameamua kuzichanga karata zake upya.

20220130_145754.jpg
 
ASP ni ya Zanzibar. Hivi Zanzibar unaijua kweli au umeisahau?
 
Ujue mnaomlaumu huyu taahira mnapoteza wino wa seva wa JF bure tu. Huyu alikwenda kwa makusudi maalumu kuyafanya hayo aliyofanya ya kuuwa CUF, UKAWA na demokrasia kwa ujumla wake. Kafanikiwa kwa kiwango kikubwa. Achaneni nae! Hakuna haja kumsikiliza kwa chochote
 
Mwenyekiti wa CUF, Prof. Ibrahim Lipumba, leo Jumamosi tarehe 12 Februari, 2022 amesema nafasi yake iko wazi…

"Natoa wito na kuwahakikishia wanachama kwamba, hii nafasi ya mwenyekiti iko wazi kwenye uchaguzi unaokuja, kwa maana kwamba kila mmoja anaweza kugombea nafasi hiyo.

“Nawaomba radhi Wazanzibar niliowakwaza katika mgogoro, nawakaribisha tujenge chama. Kwa upande wangu wakati wa mgogoro hawakunitendea haki na kunielezea mambo yasiyo ya kweli niliyoyasikia na nisiyoyasikia, nimewasemehe yaliyopita si ndwele.

“Nasisitiza vijana tujitokeze kugombea nafasi zote ikiwa ni pamoja na nafasi ya mwenyekiti wa Taifa, kwamba Lipumba hajawa na hatakuwa kikwazo kwa watu kujitokeza kugombea nafasi hizo,”- Lipumba.

View attachment 2117082
MPUUZI KABISA, KAIUA CUF ndo leo anataka hivyo.....Propesa LIPUMBAVU......
 
ukishakubali kutumika kisiasa basi ujue siku anayekutumia atakuchoka na atakutema kama taste-less bubble gum.
 
Kuna mpango hapo.... Mtego ...

Wakiingia kichwa kichwa watakuja shtuka mbele huko.. mwenzao alipanga nini...

Lipumba anatumwa na anajua ... ..keshaharibu na sasa anaanza taratibu baadae she kuvuruga!

Tanzania hakuna upinzani.. ..
.
 
Mwenyekiti wa CUF, Prof. Ibrahim Lipumba, leo Jumamosi tarehe 12 Februari, 2022 amesema nafasi yake iko wazi…

"Natoa wito na kuwahakikishia wanachama kwamba, hii nafasi ya mwenyekiti iko wazi kwenye uchaguzi unaokuja, kwa maana kwamba kila mmoja anaweza kugombea nafasi hiyo.

“Nawaomba radhi Wazanzibar niliowakwaza katika mgogoro, nawakaribisha tujenge chama. Kwa upande wangu wakati wa mgogoro hawakunitendea haki na kunielezea mambo yasiyo ya kweli niliyoyasikia na nisiyoyasikia, nimewasemehe yaliyopita si ndwele.

“Nasisitiza vijana tujitokeze kugombea nafasi zote ikiwa ni pamoja na nafasi ya mwenyekiti wa Taifa, kwamba Lipumba hajawa na hatakuwa kikwazo kwa watu kujitokeza kugombea nafasi hizo,”- Lipumba.

View attachment 2117082
Huyu mzee Wana akili moja na Zitto hapo anavizia wanachama wanaojitoa ACT kule Zanzibar.

Ila watakaomuamini huyu basi wajue ndio wanaizika siasa ya upinzani kule visiwani.

Akili yake Kama jina lake ongeza neno "vu" mbele ya surname yake.
 
Maisha haya

Mbali ya Lipumba …waliosababisha CUF ikapasuka mmoja yupo Kaburini, mwingine yupo ICU na mwingine yupo Gerezani
 
Back
Top Bottom