Asante maprofessa wawili...
professa J wa Muziki
na Professa Kabudi wa Utamaduni...
hakika mnaenda kutendea haki utamaduni kupitia mziki Tanzania.
Bongo fleva ilianza na Nigger J alias Profesa J
Sasa Singeli linarasimishwa na profesa Kabudi...what a marvelous story!!
maisha kama kioo ukisema haufeli hautafeli msikie Nigger J hapo wewe!
Kazi iendelee