Profesa Janabi: Bei ya sukari imepanda juu, take advantage

Profesa Janabi: Bei ya sukari imepanda juu, take advantage

Kwenye hili nakubaliana nae, sukari sio nzuri. Najisikia vibaya ninapomuona mtu mkononi ameshika soda.

Mafundisho yake mengine unaweza kuona kila mlo haufai kwa binadamu

Halafu watu wabishi wanamuona huyu Dr mbaya wakati anachowaambia nj kwa faida yao
 
Mkurugenzi wa Hospitali ya Taifa ya Muhimbili, Profesa Mohamed Janabi amezungumza kuhusu ongezeko la wagonjwa wa kusafisha figo ambapo amesema kwa siku hospitali hiyo inahudumia wagonjwa 120 hadi 130, hivyo ameihimiza jamii kuchukua tahadhari na kufuata mtindo bora wa maisha.

Profesa Janabi amesisitiza kwamba vitu hatari zaidi kwa afya ya mwili ni sukari na wanga na wala sio mafuta kama wengi ambavyo hudhani, na kwamba mwili hautunzi wanga wala sukari, badala yake huvibadilisha kuwa mafuta. Hivyo, amewataka watu kupunguza matumizi ya vyakula vyenye sukari na wanga.

“Sukari ni ugonjwa hausababishwi na fangasi, hausababishwi na bacteria, unasababishwa na lishe, lazima tubadilishe mtindo wa maisha, mtakaopata nafasi mzungumze na mtu anayefanyiwa dialysis (kusafisha figo) ndio mtafahamu umuhimu wa kutunza figo,”amesema.

Profesa Janabi ameeleza kuwa kuepuka ugonjwa huo ni jambo linalowezekana kwa kubana matumizi ya chakula, kutembea kwa hatua 10,000 kwa siku, na kupunguza vyakula vyenye sukari. “Bei ya sukari imepanda juu, take advantage.”
Ni kweli sukari ya chai (table sugar) ndiyo husababisha ugonjwa wa kisukari? Je, bei ya mahindi ngano na mchele ikipanda pia tu-take adavantage..!? This is professorial rubish!!
 
Kwenye hili nakubaliana nae, sukari sio nzuri. Najisikia vibaya ninapomuona mtu mkononi ameshika soda.

Mafundisho yake mengine unaweza kuona kila mlo haufai kwa binadamu
Kumbe sukari iliyoko kwenye fanta ni ya Mtibwa?
 
Janabi anausaka uteuzi wa kisiasa kwa nguvu zote, na ameshajipata.... ni suala la muda tu.
 
Mbona watalaam wa afya wanasema asali haina shida?

Mnatuchanganya mjue.
Sukari iliyo mbaya ni simple sugars kama sucrose na glucose kwani zinakwenda haraka kwenye damu na kuleta madhara kama kuziba mishipa, Kisukari na unene.

Kuepuka hayo tumia sukari tata kama zilizo kwenye vyakula visivyo kobolewa.
 
Sukari iliyo mbaya ni simple sugars kama sucrose na glucose kwani zinakwenda haraka kwenye damu na kuleta madhara kama kuziba mishipa, Kisukari na unene.

Kuepuka hayo tumia sukari tata kama zilizo kwenye vyakula visivyo kobolewa.
Mnazidi kunivuruga.

Mkuu ndani nina dumu la asali lita 20, kwahiyo asali ni simple sugar au sukari tata?
 
tanzania hakuna matunda ya maana matunda wanaunguza na moto yaive haraka nayo ni sumu ukila embe halina test ukila ndizi hakuna test ukila tikiti hakuna test machungwa nayo makali
 
Back
Top Bottom