Kwenye hili nakubaliana nae, sukari sio nzuri. Najisikia vibaya ninapomuona mtu mkononi ameshika soda.
Mafundisho yake mengine unaweza kuona kila mlo haufai kwa binadamu
Ukitaka ku prove, punguza kiasi cha ugali na wali kula sana mbogamboga, matunda na maji safi ndani ya siku 7 lazima ngozi yako itabadilika na kung'aa kwa afya njema.
Tunaishi mara moja kula utakacho, kifo kipo hata uwe fundi viatu.pepsi sijui niwafanye nini waachane na mimi. kila nikiapa narudia!
Ni kweli sukari ya chai (table sugar) ndiyo husababisha ugonjwa wa kisukari? Je, bei ya mahindi ngano na mchele ikipanda pia tu-take adavantage..!? This is professorial rubish!!Mkurugenzi wa Hospitali ya Taifa ya Muhimbili, Profesa Mohamed Janabi amezungumza kuhusu ongezeko la wagonjwa wa kusafisha figo ambapo amesema kwa siku hospitali hiyo inahudumia wagonjwa 120 hadi 130, hivyo ameihimiza jamii kuchukua tahadhari na kufuata mtindo bora wa maisha.
Profesa Janabi amesisitiza kwamba vitu hatari zaidi kwa afya ya mwili ni sukari na wanga na wala sio mafuta kama wengi ambavyo hudhani, na kwamba mwili hautunzi wanga wala sukari, badala yake huvibadilisha kuwa mafuta. Hivyo, amewataka watu kupunguza matumizi ya vyakula vyenye sukari na wanga.
“Sukari ni ugonjwa hausababishwi na fangasi, hausababishwi na bacteria, unasababishwa na lishe, lazima tubadilishe mtindo wa maisha, mtakaopata nafasi mzungumze na mtu anayefanyiwa dialysis (kusafisha figo) ndio mtafahamu umuhimu wa kutunza figo,”amesema.
Profesa Janabi ameeleza kuwa kuepuka ugonjwa huo ni jambo linalowezekana kwa kubana matumizi ya chakula, kutembea kwa hatua 10,000 kwa siku, na kupunguza vyakula vyenye sukari. “Bei ya sukari imepanda juu, take advantage.”
Kumbe sukari iliyoko kwenye fanta ni ya Mtibwa?Kwenye hili nakubaliana nae, sukari sio nzuri. Najisikia vibaya ninapomuona mtu mkononi ameshika soda.
Mafundisho yake mengine unaweza kuona kila mlo haufai kwa binadamu
Usichanganyikiwe mlamu, we kula vinono.... mwisho utakufa tu.Mbona watalaam wa afya wanasema asali haina shida?
Mnatuchanganya mjue.
Acha tuvigonge tu kufa kupo.Usichanganyikiwe mlamu, kula vinono.... mwisho utakufa tu.
Prof.Janabi ni moja ya watu muhimu Tanzania hasa kwa elimu yake ya afya ili kupambana na magonjwa yasiyoambukizwa.
Sukari iliyo mbaya ni simple sugars kama sucrose na glucose kwani zinakwenda haraka kwenye damu na kuleta madhara kama kuziba mishipa, Kisukari na unene.Mbona watalaam wa afya wanasema asali haina shida?
Mnatuchanganya mjue.
Mnazidi kunivuruga.Sukari iliyo mbaya ni simple sugars kama sucrose na glucose kwani zinakwenda haraka kwenye damu na kuleta madhara kama kuziba mishipa, Kisukari na unene.
Kuepuka hayo tumia sukari tata kama zilizo kwenye vyakula visivyo kobolewa.
Ukimaliza kuoga kila siku unaenda kugalagala kwenye matope ukijua kesho tena utaoga si ndioKunywa soda,kesho piga mazoezi(endurance)saa nzima,uchafu wote unatoka mwilini