Duh heading imeandikwa kwa mtindo wa gazeti pendwa.
Gazeti la Uhuru.Hahahahahah! gazeti pendwa! hahahahahah heheheheh hohohohoh ihhh! mkuu bana eti gazeti pendwa!
upuuzi bin ujinga wahed.
Sasa wewe ndio umekurupuka kama umeshikwa ugoni huo ndio uandishi kama ni gazeti ushalinunua.Ila umenifurahisha pia unaonesha unapenda umbea habari imepost saa 20:28 wewe saa 20:39 ushamwaga coments.............?Na wewe ni mtoa habari,ndo maana hivyo vyuo vya wanahabari vya vichochoroni vifungwe