Profesa Joyce Ndalichako ameahidi kulipa ada ya kidato cha tano na sita Wanafunzi wa Kike

Profesa Joyce Ndalichako ameahidi kulipa ada ya kidato cha tano na sita Wanafunzi wa Kike

Publicity. Ingawa the end justify the means na hongera kwake ila ingekuwa ni kutoa msaada angeweza kufanya kimya kimya bila kutangaza (hapo huenda kajilipa maradufu kwa kufanya kampeni)

Ukitoa sio lazima kila mtu ajue, unless otherwise unataka return ya wema wako.
Wewe huwajui wanasiasa kumbe yani mwanasiasa atoe msaada kimyakimya haipo hiyo.
 
Mimi siamini Kama kasema hivyo. Labda arudie hiyo ahadi yake kwa kiingereza.
😀😀😀😀😀


Joy na kakaake kingereza kinawazidi urefu ndio maana wanajidai kuipa promo kiswahili tulishajua hilo.
 
Shule za kata.

Watoto wa kike,

Division one,

Ada ni Tsh 70,000

Hata mimi muuza genge naweza kutoa hiyo ahadi tena kwa tashwishwi za kibeberu.
Wengi mkijitolea, wengi watafaidika! Kutoa ni moyo!
 
Back
Top Bottom