Uchaguzi 2020 Profesa Kabudi achukua fomu ya kuomba kuteuliwa na CCM kuwania ubunge Kilosa

Hivi huyu asili yake ni wa mkoa wa Morogoro au Dodoma?
Kuna mkanganyiko kwenye maelezo yake yanayopatikana mtandaoni ingawa asili ya mtu si kikwazo..Kilosa pameonekana hawana nongwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…