Chachu Ombara
JF-Expert Member
- Dec 11, 2012
- 6,067
- 10,938
Dom mixer moroHivi huyu asili yake ni wa mkoa wa Morogoro au Dodoma?
Huo mshati!Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Prof. Palamagamba Kabudi, amechukua fomu ya kuomba kuteuliwa na Chama Cha Mapinduzi-CCM kuwania ubunge jimbo la Kilosa.
Pia soma > Uchaguzi 2020 - Wananchi wa Kimamba wamhakikishia Rais Magufuli kwamba watamchagua Profesa Kabudi kuwa Mbunge wao. Atangaza nia
Hongera kwake. Amshukuru Magufuli kampalilia njia,bila hivyo angekuwa anahaha na chalc pale UDSM.
Watu wa Kilosa anawaona mazuzu sana.Aliyekuwa waziri au waziri?
Hivi huyu asili yake ni wa mkoa wa Morogoro au Dodoma?
DodomaHivi huyu asili yake ni wa mkoa wa Morogoro au Dodoma?
Acha hizo bhana,kwa hiyo kumchagua prof.Kabudi ni uzuzu?Watu wa Kilosa anawaona mazuzu sana.
Kuna mkanganyiko kwenye maelezo yake yanayopatikana mtandaoni ingawa asili ya mtu si kikwazo..Kilosa pameonekana hawana nongwaHivi huyu asili yake ni wa mkoa wa Morogoro au Dodoma?
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Prof. Palamagamba Kabudi, amechukua fomu ya kuomba kuteuliwa na Chama Cha Mapinduzi-CCM kuwania ubunge jimbo la Kilosa.
Pia soma > Uchaguzi 2020 - Wananchi wa Kimamba wamhakikishia Rais Magufuli kwamba watamchagua Profesa Kabudi kuwa Mbunge wao. Atangaza nia
Kuletewa mbunge kutoka juu nanyi mkakubali kirahisi ni nini?Acha hizo bhana,kwa hiyo kumchagua prof.Kabudi ni uzuzu?
Hongera kwake. Amshukuru Magufuli kampalilia njia,bila hivyo angekuwa anahaha na chalc pale UDSM.
Siyo mvua ya mate wakati wa kampeiniSina uhakika na mwamko wa upinzani huko kilosa natumaini atapata upinzani mzuri kutoka CHADEMA.
Hivi huyu asili yake ni wa mkoa wa Morogoro au Dodoma?
Kwani ameshakuwa mbunge?Kuletewa mbunge kutoka juu nanyi mkakubali kirahisi ni nini?
Kesha pata na ubunge kabisa huyo