Bruno Toto
JF-Expert Member
- Oct 15, 2019
- 477
- 546
Amezaliwa Kilosa, hta hivyo sio wote watia nia wamezaliwa kwenye majimbo husikaNinavyojua huyu Professor ni Mgogo na Kilosa ni ya Waluguru, kulikoni? Au Kilosa nayo ni kama majimbo ya Dar es Salaam?
Mwenye kujua siri ya urembo atujuze tafadhali.