Uchaguzi 2020 Profesa Kabudi achukua fomu ya kuomba kuteuliwa na CCM kuwania ubunge Kilosa

Uchaguzi 2020 Profesa Kabudi achukua fomu ya kuomba kuteuliwa na CCM kuwania ubunge Kilosa

Ninavyojua huyu Professor ni Mgogo na Kilosa ni ya Waluguru, kulikoni? Au Kilosa nayo ni kama majimbo ya Dar es Salaam?

Mwenye kujua siri ya urembo atujuze tafadhali.
Amezaliwa Kilosa, hta hivyo sio wote watia nia wamezaliwa kwenye majimbo husika
 
Ninavyojua huyu Professor ni Mgogo na Kilosa ni ya Waluguru, kulikoni? Au Kilosa nayo ni kama majimbo ya Dar es Salaam?

Mwenye kujua siri ya urembo atujuze tafadhali.
Ulisoma jiografia ya darasa la 4? Hujui Kilosa inapakana na mkoa wa Dodoma? Kuna shida gani yeye kuwa Mgogo wa Kilosa?
 
Hukusikia Siku ile jiwe anasema kabudi ulizaliwa kilosa
 
Wilaya ya Kilosa ndiyo wilaya yenye makabila mengi zaidi mkoani Morogoro kuliko wilaya zote, moja kati ya makabila hayo ni Wagogo.
Hata hivyo siasa za kikabila tunaanza kuzifuta Tanzania, ingawa mikoa kama Kilimanjaro, Pemba na Bukoba kuufuta ukabila itachukua muda
 
Ninavyojua huyu Professor ni Mgogo na Kilosa ni ya Waluguru, kulikoni? Au Kilosa nayo ni kama majimbo ya Dar es Salaam?

Mwenye kujua siri ya urembo atujuze tafadhali.
Mmeishaanza kulogana kudadeki !
 
Kafosi kuonekana wa kilosa ila si wa kilosa, juzi Rais anawaambia wana kilosa mwanenu huyu nani..nani professa nani ( anajifanya hajui) wakamjibu profesa J
Huyu kazaliwa berega hapo Kuna ndg zake
Sema hajaishi sana pande hizo ndomana watu wanamjua kiasi

Ova
 
Back
Top Bottom