Profesa Kabudi atoa Somo la Uzalendo

brazaj

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2016
Posts
31,698
Reaction score
41,733
Mh. Waziri wa Sheria na Katiba amesikika leo akitoa somo:

Your browser is not able to play this audio.


Hii ikiwa hata vumbi la kuangushiwa jumba bovu lingali halijatulia:



Kuna haja ya tafsiri za neno hili "uzalendo" kupitiwa vyema ila kuwa na tafsiri moja. Tulipo leo haieleweki. Kwa jina la uzalendo Polepole anananga anaowaita wahuni. Kwa jina la uzalendo Polepole na Kabudi wananangwa na wanaowaita wao wahuni. Kama migambo mwendo umekuwa ni kuruka kwa kukanyagana.

-----
Your browser is not able to display this video.
 
Uzalendo kwa tafsiri ya watanzania maana yake ni "Sasa mimi na familia yangu tunafaidika".
 
Uzalendo ni kwenda kuchukua dawa fake za Uviko-19 kwa kutumia ndege yetu kwa gharama kubwa

"JPM aliharibu diplomasia yetu kwa kupitia Kabudi"Bulembo voice
 
Mimi huyu mzee nilimdharau toka akane kuhusu upatikanaji wa katiba mpya ilihali alikuwa mjumbe wa Tume ya katiba.Najua ana bei yake na hana uzalendo wowote.

Njaa iliyopitiliza ni mbaya sana
 
Mungu siku zote huwaga analipa hapa hapa naona Bulembo ameanza kumnanga jiwe[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mama amewaacha wenye akili na kukumbatia mahuni Wacha wampake mavi.
Viva Prof. Kabudi
Kumsifia mtu aliye sema mwenyewe kuwa aliokotwa majalalani ni kuukosea sana ulimi na mdomo wako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…