ama amewaacha wenye akili na kukumbatia mahuni Wacha wampake mavi.
Viva Prof. Kabudi
Nakuunga mkono yaani hapa ni vita ya matumboUzalendo nchi hii ni msamiati wa hadaa, kila raia kwa nafas aliyopata anaweka mbele personal gain, yaan mkate!
Wacha wagonjwa wanyweshane uji wenye sumuLihuni lingine macho kumchuzi limejitokeza kujibishana na lihuni lenzake. Hiiiiiiiiiiiii iiiiiiiii
Ni mnafiki mkubwa sana hana tofauti na mpiga zumariHuyu hamna kitu abaki kukodoa mimacho tu. Uzalendo au unafiki?
Kwa wenzetu wenye kuheshimu utawala wa sheria leo hii Kabugi angekuwa hana nafasi kwenye ofisi za serikali.Uzalendo ni kwenda kuchukua dawa fake za Uviko-19 kwa kutumia ndege yetu kwa gharama kubwa
"JPM aliharibu diplomasia yetu kwa kupitia Kabudi"Bulembo voice
Mungu siku zote huwaga analipa hapa hapa naona Bulembo ameanza kumnanga jiwe[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kama alisema alitolewa dump unategemea awe na weledi na uwajibikaji kweli mkuu?Kwa wenzetu wenye kuheshimu utawala wa sheria leo hii Kabugi angekuwa hana nafasi kwenye ofisi za serikali.
Ndiyo ujuwe kuwa wana ccm wengi wao wanapugania matumbo.Huyo alisema 2020 jiwe apite bila kupingwa:
Hiiiiii bagosha!
Hapo ni 0 tu mkuuKama alisema alitolewa dump unategemea awe na weledi na uwajibikaji kweli mkuu?
Nimeipenda hii [emoji1787]Wacha wagonjwa wanyweshane uji wenye sumu
Pamoja ndugu mzareeendoNimeipenda hii [emoji1787]
Uzalendo ni kwenda kuchukua dawa fake za Uviko-19 kwa kutumia ndege yetu kwa gharama kubwa
"JPM aliharibu diplomasia yetu kwa kupitia Kabudi"Bulembo voice
Jalalani hapajawahi kuwa sehemu ya wenye akili bali waliopungukiwa akili. Huyu alikiri mwenyewe kuwa katolewa Jalalani.Mama amewaacha wenye akili na kukumbatia mahuni Wacha wampake mavi.
Viva Prof. Kabudi
Weka Balozi zote zilizofungua ubalozi awamu ya 5 halafu tuambie Tanzania kuna mabalozi wangapi tuone ukweli wa ukisemacho.unajua awamu ya makufuli mabalozi wapya wengi wamefungua ubalozi tanzania kuliko awamu zingine hata israel imefungua ubalozi awamu ya jpm
WamefanyajeACT wazalendo!