Profesa Kabudi awasha moto Katiba Mpya

Tunawasomi wazuri mnoo tz ila wanashawishika they face conflict of interest simameni wasomi muokoe nchi hii ndo mda huu wakutusaidia wanyonge

Tatizo kuna wasomi kama Shivji na akina Tibaijuka,Migiro etc hao wataokoa matumbo yao na ccm
 
Pasco ni mbabaishaji mmoja wa mitandaoni... Hawezi kufananishwa na jembe Pascal Mayalla.
Hawa jamaa sijui ni mapacha? Niliwahi kukutana na Pasco "akiwa" na Pascal Mayalla Chalinze kwenye totoz za kikwere dah! Jamaa wanafanana sura, sauti hadi bodaboda wanazoendesha.
 
Last edited by a moderator:

Tatizo CCM wameshatiwa upofu na Mwenyezi Mungu, hawaoni tena kilicho mbele yao! hawaoni tena mantiki. Kibaya zaidi hata Kabudi alikatiwa matangazo na wakaweka Taarabu.
 
Hata kama CCM na wote waliopofushwa na pengine hofu ya zomeazomea ya watu wanatokana na maslahi ya watawala watalazimisha maoni yao na kipindua yaliyomo ndani ya rasimu, ni kitambo tu na wajie,Tangamyika ipo na itarudi tu maana ni mzimu itakaoendelea kuwatafuna wote wanaoikataa leo.
Ole wenu mnaojua ukweli wa mioyo yenu kijawa na Tanganyika lakini mnaogopa kisema ili muweke rekodi itakayowasaidia kuheshimika pindi Mambo yakiharibika maana haiwezi kupita miaka 20.
 

Watawala wanajiamini kwamba wanatawala mazezeta ya Tangznyika hayana uelewa vichwani kazi ipo Zanzibar.
 
Last edited by a moderator:


Msalimie kijana mwenzio Pasco mwambie salaaam nyingi toka kwa vijana wa Madrasa kule Zanzibar na akina Ritz na FF Shekh Said
 


TANZANIA BARA NDIO NCHI GANI usitumie makalio kufikiri wewe nenda kwa mtoto wa darasa la tatu muulize TANZANIA NI MUUNGANO WA NCHI ZIPI........HUWEZI KUPATA JIBU LA TANZANIA BARA NA TANZANIA VISIWANI labda huyo mwanafunzi awe mtoto NAAPE
 
PROF. KABUDI

In white-collar crime, there are ink stains instead of bloodstains.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…