Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siyo ujinga wa waliosaini mikataba?Mpaka Sasa ndege moja imekamatwa huko uholanzi ,tunadaiwa BILIONI 100 kutokana na ujinga WA huyu Babu
Kila mtu kwako ndiye Rais ajaye , mpaka sasa umetuambia wajao Kama 5Ndiye Rais ajaye kama Biden vile!
Siku zote ukweli utakuweka huru. Huyu Prof., Ni mchapa Kazi sana.Pamoja na uchawa wake na kupenda kujipendekeza kwenye mikataba Professor kabudi umesaidia sana kuangalia mikataba na kuweka uwazi ambao haukuwepo. Zamani tulikuwa na Chenge ambaye alikuwa anajifikira yeye kuliko nchi
View attachment 2591332
Biden hana chake anarudi jumba jeupe mzee Trumpet 😂🏃Ndiye Rais ajaye kama Biden vile!
Aliyewafanya kina Prof Kabudi na Dr Bashiru kuingia kwenye siasa za nchi hii na kuacha waliyokuwa wanafanya ni wa kulaumiwa.Prof kutoka jalalani
Majina mabaya anajipakazia na anapakaziwa na wenzie wanakijani 🤔Nyumbu hawampendi wanampakazia majina mabaya mabaya
Huko ndio wapi mwamba🤔Prof kutoka jalalani
Dhalimu ndio aliwaingiza kwenye siasa, kisha akawa anawaagiza kama wake zake.Aliyewafanya kina Prof Kabudi na Dr Bashiru kuingia kwenye siasa za nchi hii na kuacha waliyokuwa wanafanya ni wa kulaumiwa.
Sio poa, sasa hivi wanaonekana watu wa diliDhalimu ndio aliwaingiza kwenye siasa, kisha akawa anawaagiza kama wake zake.
Kabisa.Sio poa, sasa hivi wanaonekana watu wa dili