kingundya
JF-Expert Member
- Apr 22, 2013
- 2,000
- 3,352
MGombea anahesabia kura mwenyeweHawa hapa wakihesabu kurašView attachment 3180022
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
MGombea anahesabia kura mwenyeweHawa hapa wakihesabu kurašView attachment 3180022
Mkuu si unaonaga Wachina wanavyoshangaagašWaooh..! Umenifanya nicheke kama chiziš¤£š¤£š¤£š¤£
HahahahahahaWooo
Hivi CUF bado ni chama cha siasa?
Profesa Ibrahim Lipumba ametangazwa mshindi wa uenyekiti wa CUF Taifa, akiwashinda makada saba aliochuana nao kwenye nafasi hiyo.
Kwa ushindi huu Profesa Lipumba atakuwa amekaa madarakani kwa miaka 30 pindi kipindi chake hiki kipya kitakapoisha na hivyo kumfanya kuwa mmoja ya Mwenyekiti wa chama cha siasa aliyedumu kwa muda mrefu
View attachment 3180095
View: https://x.com/MwananchiNews/status/1869616312563241357?t=t5DzZIXGI0yg-SPtndjkgw&s=19
Lipumba ni Al haj?Huyu jamaa nimemdharau baada ya kutumika kuia cuf, sikutegemea alhaj mzima angalifanya upuuzi kwa tamaa ya pesa. Kaleta fitna kubwa ktk jamii
Profesa Ibrahim Lipumba ametangazwa mshindi wa uenyekiti wa CUF Taifa, akiwashinda makada saba aliochuana nao kwenye nafasi hiyo.
Kwa ushindi huu Profesa Lipumba atakuwa amekaa madarakani kwa miaka 30 pindi kipindi chake hiki kipya kitakapoisha na hivyo kumfanya kuwa mmoja ya Mwenyekiti wa chama cha siasa aliyedumu kwa muda mrefu
View attachment 3180095
View: https://x.com/MwananchiNews/status/1869616312563241357?t=t5DzZIXGI0yg-SPtndjkgw&s=19
Kama Manara tuLipumba ni Al haj?
Umewaza kama mimi mkuuNaona uchaguzi huu na matokeo upo kimkakati Ili kuwahadaa CHADEMA wamfanye Mbowe aone kawaida kuendelea kuwa Mwenyekiti wakati CUF tiyari ilishajifia kitambo. Ila uamuzi anao Mbowe mwenyewe, CHADEMA kuwa kama CUF wala haichukui muda
Lipumba alikodi ndege kabisa kwenda kuhijiLipumba ni Al haj?
Yuko vizuriLipumba alikodi ndege kabisa kwenda kuhiji
Kwa kweliYuko vizuri