Waufukweni
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 2,060
- 5,648
Zee halina aibu hili na kichwa chake chenye nywele robo kichwa,kama awesome amesomewa Kurjuan vile.Wagombea tisa wa nafasi ya uenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF) akiwemo Prof. Ibrahimu
Pia, Soma: Katibu Mkuu CUF: Uchaguzi Mkuu CUF Utapita Bila Mgogoro, Wanachama hawana Tamaa ya Madaraka
Lipumba wanatarajiwa kuchuana katika kinyang'anyiro cha kumtafuta mwenyekiti mpya wa chama hicho katika uchaguzi mkuu unaofanyika kila baada ya hmiaka mitano.
View attachment 3179441
Aje agombee uenyekiti CHADEMAWagombea tisa wa nafasi ya uenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF) akiwemo Prof. Ibrahimu
Pia, Soma: Katibu Mkuu CUF: Uchaguzi Mkuu CUF Utapita Bila Mgogoro, Wanachama hawana Tamaa ya Madaraka
Lipumba wanatarajiwa kuchuana katika kinyang'anyiro cha kumtafuta mwenyekiti mpya wa chama hicho katika uchaguzi mkuu unaofanyika kila baada ya miaka mitano.
View attachment 3179441
Ccm hata mwenyekiti anayepita akishindwa huyo anayekuja hawezi kupewa kugombea uraisi ikiwa yule rais aliye madarakani hajamaliza miaka 10.kwa Hyo ni kazi bureNimefurahi kuona watu wengi wamechukua fomu kugombea dhidi ya Lipumba. Same should be observed in CCM and Chadema kuruhusu watu wengi kugombea sio kuitwa wahaini au wasaliti kisa kugombea
Hivi hii CUF kwenye uchaguzi wa kishetani wa Mchengerwa ilipata hata Mwenyekiti wa kitongoji mmoja?Wagombea tisa wa nafasi ya uenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF) akiwemo Prof. Ibrahimu
Pia, Soma: Katibu Mkuu CUF: Uchaguzi Mkuu CUF Utapita Bila Mgogoro, Wanachama hawana Tamaa ya Madaraka
Lipumba wanatarajiwa kuchuana katika kinyang'anyiro cha kumtafuta mwenyekiti mpya wa chama hicho katika uchaguzi mkuu unaofanyika kila baada ya miaka mitano.
View attachment 3179441
Lipumba walishamalizana naye kitambo sn hata uchaguzi wa juzi hajalalamikaMbona wana CCM hawaulalamikii uongozi wa milele wa Lipumba ?
Lipumba milkumi tenaWagombea tisa wa nafasi ya uenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF) akiwemo Prof. Ibrahimu
Pia, Soma: Katibu Mkuu CUF: Uchaguzi Mkuu CUF Utapita Bila Mgogoro, Wanachama hawana Tamaa ya Madaraka
Lipumba wanatarajiwa kuchuana katika kinyang'anyiro cha kumtafuta mwenyekiti mpya wa chama hicho katika uchaguzi mkuu unaofanyika kila baada ya miaka mitano.
View attachment 3179441
anachuana na naniWagombea tisa wa nafasi ya uenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF) akiwemo Prof. Ibrahimu
Pia, Soma: Katibu Mkuu CUF: Uchaguzi Mkuu CUF Utapita Bila Mgogoro, Wanachama hawana Tamaa ya Madaraka
Lipumba wanatarajiwa kuchuana katika kinyang'anyiro cha kumtafuta mwenyekiti mpya wa chama hicho katika uchaguzi mkuu unaofanyika kila baada ya miaka mitano.
View attachment 3179441