Wapemba wanakitaka Chama chao, wameki miss sanaWagombea tisa wa nafasi ya uenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF) akiwemo Prof. Ibrahimu
Pia, Soma: Katibu Mkuu CUF: Uchaguzi Mkuu CUF Utapita Bila Mgogoro, Wanachama hawana Tamaa ya Madaraka
Lipumba wanatarajiwa kuchuana katika kinyang'anyiro cha kumtafuta mwenyekiti mpya wa chama hicho katika uchaguzi mkuu unaofanyika kila baada ya miaka mitano.
View attachment 3179441
Badalaya kufanya toba baada ya kuingiza fitna cuf kwa tamaa ya pesa anazidi kujiingiza ktk shimo. Hijja alienda kufanya nini?Wagombea tisa wa nafasi ya uenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF) akiwemo Prof. Ibrahimu
Pia, Soma: Katibu Mkuu CUF: Uchaguzi Mkuu CUF Utapita Bila Mgogoro, Wanachama hawana Tamaa ya Madaraka
Lipumba wanatarajiwa kuchuana katika kinyang'anyiro cha kumtafuta mwenyekiti mpya wa chama hicho katika uchaguzi mkuu unaofanyika kila baada ya miaka mitano.
View attachment 3179441
Hana madhara kwao.Mbona wana CCM hawaulalamikii uongozi wa milele wa Lipumba ?
Alienda kuhiji, mbona Mwijaku alienda?Badalaya kufanya toba baada ya kuingiza fitna cuf kwa tamaa ya pesa anazidi kujiingiza ktk shimo. Hijja alienda kufanya nini?
OkProf atashinda kwa kishindo.