#COVID19 Profesa Lipumba apata chanjo ya Covid-19, ashauri wananchi wachangamkie fursa

Akizungumza na waandishi baada ya kutoka kupata chanjo hiyo amesema amejikuta akipata nafasi hiyo kupitia mke wake, Gojina Mtenga, anayefanya kazi Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulika na Watoto Duniani(Unicef), Cox Bazaar nchini Bangladesh.
Huu muda angeutumia kuwafundishha watu kujikwamua kiuchumi badala ya kuropoka senseless statements, kwahiyo wasio na ndugu au uwezo wa kufika huko wafe kivyao
 
Tz bd sana, kuna muda unawaza km hao mabeberu ndio wametupa elimu, technology, madawa nk, Leo hii watumalize kupitia chanjo!!? Yaani wanasiasa bd mnafuata propaganda za mwenda zake wa kujifukiza manyungu. Hata mifano hamuoni nchi zilizoendelea Europe, USA nk. Kiongoz anachoma chanjo kimya kimya we we unaambiwa chanjo so salama. Aisee hili neno #Tanzia litasikika sana kwa huu ujinga wa wanasiasa.
 
K
Kwa hiyo amechanjwa hivyo hatakufa?

Aende akawadanganye wanyamwezi wenzie
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…