Profesa Lipumba awapokea wanachama 50 kutoka ACT Wazalendo

Profesa Lipumba awapokea wanachama 50 kutoka ACT Wazalendo

John Haramba

JF-Expert Member
Joined
Feb 4, 2022
Posts
365
Reaction score
1,374
Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi CUF, Profesa Ibrahim Lipumba, leo Jumapili Februari 20, 2022 ameongoza mapokezi ya wanachama takribani 50 wanaorejea kwenye Chama hicho akiwemo Masoud Hamad Masoud kutoka Chama Cha ACT- Wazalendo.

Masoud aliyekuwa mgombea wa nafasi ya Mwenyekiti wa ACT katika uchaguzi uliofanyika Januari 29, 2022 akishindana na Juma Haji Duni, amekihama chama hicho na kirejea CUF kwa madai ya kutokuridhishwa na mchakato wa uchaguzi.
 
Wapemba waarabu wengi wataondoka ACT wazalendo

Kisa kikubwa chama kimeshikwa na watu ngozi nyeusi akina Duni haji na yule ngozi nyeusi makamu wa Raisi wa Zanzibar

Mpemba Mwarabu hapendi kuwa chini ya Mswahili ngozi nyeusi mtoto wa Mtumwa
Baada ya kifo cha Maalim Seif ilitakiwa wampe mpemba mwarabu ndipo roho za wapemba waarabu zingefurahi

Watahama wengi sana
 
Nimaandalizi ya kuirejesha CUF Zanzibar baada ya kunaswa kwenye mdomo wa Mamba katika awamu ya 5.
 
Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi CUF, Profesa Ibrahim Lipumba, leo Jumapili Februari 20, 2022 ameongoza mapokezi ya wanachama takribani 50 wanaorejea kwenye Chama hicho akiwemo Masoud Hamad Masoud kutoka Chama Cha ACT- Wazalendo.

Masoud aliyekuwa mgombea wa nafasi ya Mwenyekiti wa ACT katika uchaguzi uliofanyika Januari 29, 2022 akishindana na Juma Haji Duni, amekihama chama hicho na kirejea CUF kwa madai ya kutokuridhishwa na mchakato wa uchaguzi.
Watajuana hao hezbura
 
Wapemba waarabu wengi wataondoka ACT wazalendo

Kisa kikubwa chama kimeshikwa na watu ngozi nyeusi akina Duni haji na yule ngozi nyeusi makamu wa Raisi wa Zanzibar

Mpemba Mwarabu hapendi kuwa chini ya Mswahili ngozi nyeusi mtoto wa Mtumwa
Baada ya kifo cha Maalim Seif ilitakiwa wampe mpemba mwarabu ndipo roho za wapemba waarabu zingefurahi

Watahama wengi sana
Wacha ubaguzi.Huko CUF,L Lipumba ni muarabu?Na hao waliohama ni waarabu?Mbona huko ACT wapo kina Mazrui,Bimani,Jusa na wengine wengi wenye asili ya weupe.
 
Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi CUF, Profesa Ibrahim Lipumba, leo Jumapili Februari 20, 2022 ameongoza mapokezi ya wanachama takribani 50 wanaorejea kwenye Chama hicho akiwemo Masoud Hamad Masoud kutoka Chama Cha ACT- Wazalendo.

Masoud aliyekuwa mgombea wa nafasi ya Mwenyekiti wa ACT katika uchaguzi uliofanyika Januari 29, 2022 akishindana na Juma Haji Duni, amekihama chama hicho na kirejea CUF kwa madai ya kutokuridhishwa na mchakato wa uchaguzi.
50 tu? Chama kina maelfu kwa malaki ya wanachama, huyu Hamad massoud kapeleka 50 tu? CUF kwisha habari yake tena
 
Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi CUF, Profesa Ibrahim Lipumba, leo Jumapili Februari 20, 2022 ameongoza mapokezi ya wanachama takribani 50 wanaorejea kwenye Chama hicho akiwemo Masoud Hamad Masoud kutoka Chama Cha ACT- Wazalendo.

Masoud aliyekuwa mgombea wa nafasi ya Mwenyekiti wa ACT katika uchaguzi uliofanyika Januari 29, 2022 akishindana na Juma Haji Duni, amekihama chama hicho na kirejea CUF kwa madai ya kutokuridhishwa na mchakato wa uchaguzi.
Na asiporidhishwa na mchakato wa uchaguzi ndani ya CUF atahamia wapi tena???

Wanasiasa wakiafrika wana upumbavu mwingi sana.
 
Act iwe na wanachama laki ????
Kule zanzibar tu ni karibu ya asilimia 80% ya wazanzibari wote wanaopiga kura
Na usishangae hao 50 wameenda kusherehesha tu kwa style ya kula vijipesa walivyogaiwa na huyo bwankubwa aliyeukosa uwenyekiti
 
Maigizo katika siasa tumpongeze aliye tengeneza hiyo script.
 
Wapemba waarabu wengi wataondoka ACT wazalendo

Kisa kikubwa chama kimeshikwa na watu ngozi nyeusi akina Duni haji na yule ngozi nyeusi makamu wa Raisi wa Zanzibar

Mpemba Mwarabu hapendi kuwa chini ya Mswahili ngozi nyeusi mtoto wa Mtumwa
Baada ya kifo cha Maalim Seif ilitakiwa wampe mpemba mwarabu ndipo roho za wapemba waarabu zingefurahi

Watahama wengi sana
Huko CUF si wanaenda kuwa chini ya Ngozi nyeusi? Au Lipumba ni mwarabu wa Tabora?
 
Kama ni hivyo basi Chadema kazi yao kuuza viongozi mfano wabunge 19 wote mnasema wamenunuliwa na CCM ,haya Slaa ohh kafika bei,Mashinji ooh kafika bei,Lowasa ohh kafika bei nk ina maana Chadema ni gulio la kuuza

Conclussion basi Tanzania upinzani haupo sababu hakuna chama viongoI wake wengi hufika bei na kununulika kama Chadema
Mliowashinda kuwanunua mnatumia mahakama wa risasi kuwamaliza. Usijitoe ufahahamu hapa.
 
Wapemba waarabu wengi wataondoka ACT wazalendo

Kisa kikubwa chama kimeshikwa na watu ngozi nyeusi akina Duni haji na yule ngozi nyeusi makamu wa Raisi wa Zanzibar

Mpemba Mwarabu hapendi kuwa chini ya Mswahili ngozi nyeusi mtoto wa Mtumwa
Baada ya kifo cha Maalim Seif ilitakiwa wampe mpemba mwarabu ndipo roho za wapemba waarabu zingefurahi

Watahama wengi sana
Lipumba ni mwarabu????
 
Wacha ubaguzi.Huko CUF,L Lipumba ni muarabu?Na hao waliohama ni waarabu?Mbona huko ACT wapo kina Mazrui,Bimani,Jusa na wengine wengi wenye asili ya weupe.
Hao walioko ACT wazalendo walimfuata Seif sasa hayupo wanatafuta pa kwenda kujipanga baada ya kuona ACT wazalendo viongozi wa juu wote kizazi cha watumwa ngozi Nyeusi kuanzia Zitto KABWE,Duni Haji na yule wa Zanzibar Makamu wa Raisi

Lipumba wanajua kajizeekea wanaendavkukirudisha CUF mikononi mwao wajipange kule upya ndiko pekee wanakokuona kuwa waweza jipanga kule fursa ipo
 
Wapemba waarabu wengi wataondoka ACT wazalendo

Kisa kikubwa chama kimeshikwa na watu ngozi nyeusi akina Duni haji na yule ngozi nyeusi makamu wa Raisi wa Zanzibar

Mpemba Mwarabu hapendi kuwa chini ya Mswahili ngozi nyeusi mtoto wa Mtumwa
Baada ya kifo cha Maalim Seif ilitakiwa wampe mpemba mwarabu ndipo roho za wapemba waarabu zingefurahi

Watahama wengi sana
Umeandika propaganda ya kipuuzi hapa, kwani Zitto akiwa mfalme wao muda wote alikuwa ngozi nyeupe?!

Hovyo kabisa. ACT kama tawi la CCM inaenda kujifia.
 
Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi CUF, Profesa Ibrahim Lipumba, leo Jumapili Februari 20, 2022 ameongoza mapokezi ya wanachama takribani 50 wanaorejea kwenye Chama hicho akiwemo Masoud Hamad Masoud kutoka Chama Cha ACT- Wazalendo.

Masoud aliyekuwa mgombea wa nafasi ya Mwenyekiti wa ACT katika uchaguzi uliofanyika Januari 29, 2022 akishindana na Juma Haji Duni, amekihama chama hicho na kirejea CUF kwa madai ya kutokuridhishwa na mchakato wa uchaguzi.
Zitto na Lipumba siyo watu wa kuwaamini hata kidogo
 
Hao walioko ACT wazalendo walimfuata Seif sasa hayupo wanatafuta pa kwenda kujipanga baada ya kuona ACT wazalendo viongozi wa juu wote kizazi cha watumwa ngozi Nyeusi kuanzia Zitto KABWE,Duni Haji na yule wa Zanzibar Makamu wa Raisi

Lipumba wanajua kajizeekea wanaendavkukirudisha CUF mikononi mwao wajipange kule upya ndiko pekee wanakokuona kuwa waweza jipanga kule fursa ipo
Lakini Lipumba na Zitto hawaamini hata kidogo
 
Back
Top Bottom