Omusolopogasi
JF-Expert Member
- Aug 31, 2017
- 7,101
- 18,051
Wapemba waarabu wengi wataondoka ACT wazalendo
Kisa kikubwa chama kimeshikwa na watu ngozi nyeusi akina Duni haji na yule ngozi nyeusi makamu wa Raisi wa Zanzibar
Mpemba Mwarabu hapendi kuwa chini ya Mswahili ngozi nyeusi mtoto wa Mtumwa
Baada ya kifo cha Maalim Seif ilitakiwa wampe mpemba mwarabu ndipo roho za wapemba waarabu zingefurahi
Watahama wengi sana
Halafu ukifikiria ni pesa za serikali (kodi za wananchi) ndio zinatumika inasikitisha sana.Mliowashinda kuwanunua mnatumia mahakama wa risasi kuwamaliza. Usijitoe ufahahamu hapa.
Inasikitisha sana. Yote Haya yanafanyika Kwa ajili ya maslahi ya wachache ni familia zao. Lakini wanatumia maskini waliowengi kujustify mambo yao.Halafu ukifikiria ni pesa za serikali (kodi za wananchi) ndio zinatumika inasikitisha sana.
Nchi yenyewe hii bado ni LDC inaishi kwa misaada na mikopo nafuu; viongozi wanazamisha pesa "kuzima" upinzani. Halafu mashabiki wanaona sawa manunuzi ya viongozi wa upinzani kama vile hela inatoka mifukoni mwa watu. Tukiitwa a shthl country tunakuja juu.
jimboni kwake hawamtaki aje kufuatwa ni maelfu wazanzibari atawapata wapAlijisanganya atashusha Tanga atapandisha Tanga na kufatwa na maelfu ya Wazanzibar
Mnataka kuniambia Mwananchi wamepika takwimu. Tuambieni tuwashighulikie kwa ile sheria yetu.Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi CUF, Profesa Ibrahim Lipumba, leo Jumapili Februari 20, 2022 ameongoza mapokezi ya wanachama takribani 50 wanaorejea kwenye Chama hicho akiwemo Masoud Hamad Masoud kutoka Chama Cha ACT- Wazalendo.
Masoud aliyekuwa mgombea wa nafasi ya Mwenyekiti wa ACT katika uchaguzi uliofanyika Januari 29, 2022 akishindana na Juma Haji Duni, amekihama chama hicho na kirejea CUF kwa madai ya kutokuridhishwa na mchakato wa uchaguzi.
Wapemba waarabu wengi wataondoka ACT wazalendo
Kisa kikubwa chama kimeshikwa na watu ngozi nyeusi akina Duni haji na yule ngozi nyeusi makamu wa Raisi wa Zanzibar
Mpemba Mwarabu hapendi kuwa chini ya Mswahili ngozi nyeusi mtoto wa Mtumwa
Baada ya kifo cha Maalim Seif ilitakiwa wampe mpemba mwarabu ndipo roho za wapemba waarabu zingefurahi
Watahama wengi sana
Kama ni hivyo basi Chadema kazi yao kuuza viongozi mfano wabunge 19 wote mnasema wamenunuliwa na CCM ,haya Slaa ohh kafika bei,Mashinji ooh kafika bei,Lowasa ohh kafika bei nk ina maana Chadema ni gulio la kuuza
Rh
Conclussion basi Tanzania upinzani haupo sababu hakuna chama viongozi wake wengi hufika bei na kununulika kama Chadema
Hii ni hoja ya kibaguzi sana. Ni upuuzi kujenga hoja zilizojaa ubaguzi nanna hii karne ya 21. Tena toka kwa mtu anayejiita GT?Wapemba waarabu wengi wataondoka ACT wazalendo
Kisa kikubwa chama kimeshikwa na watu ngozi nyeusi akina Duni haji na yule ngozi nyeusi makamu wa Raisi wa Zanzibar
Mpemba Mwarabu hapendi kuwa chini ya Mswahili ngozi nyeusi mtoto wa Mtumwa
Baada ya kifo cha Maalim Seif ilitakiwa wampe mpemba mwarabu ndipo roho za wapemba waarabu zingefurahi
Watahama wengi sana
jimboni kwake hawamtaki aje kufuatwa ni maelfu wazanzibari atawapata wap
Juzi alipotoka ACT jimboni kwane tawi jipya la ACT limefunguliwa nyomi balaa, kadi za kielekronit Zitto amegawa kama utitiri,
Mtumeni yeyeye afanye kamkutano hapo jimbo muone fedheha labda atahutubia mimema viti na meza
Umesahau wabunge na madiwania waliouzwa 2016-2020?Kama ni hivyo basi Chadema kazi yao kuuza viongozi mfano wabunge 19 wote mnasema wamenunuliwa na CCM ,haya Slaa ohh kafika bei,Mashinji ooh kafika bei,Lowasa ohh kafika bei nk ina maana Chadema ni gulio la kuuza
Rh
Conclussion basi Tanzania upinzani haupo sababu hakuna chama viongozi wake wengi hufika bei na kununulika kama Chadema
Hongera sana ProfessorMwenyekiti wa Chama cha Wananchi CUF, Profesa Ibrahim Lipumba, leo Jumapili Februari 20, 2022 ameongoza mapokezi ya wanachama takribani 50 wanaorejea kwenye Chama hicho akiwemo Masoud Hamad Masoud kutoka Chama Cha ACT- Wazalendo.
Masoud aliyekuwa mgombea wa nafasi ya Mwenyekiti wa ACT katika uchaguzi uliofanyika Januari 29, 2022 akishindana na Juma Haji Duni, amekihama chama hicho na kirejea CUF kwa madai ya kutokuridhishwa na mchakato wa uchaguzi.