Profesa Lipumba: Sisi CUF tutajikita kudai Tume Huru ya Uchaguzi na Katiba Mpya

Profesa Lipumba: Sisi CUF tutajikita kudai Tume Huru ya Uchaguzi na Katiba Mpya

CUF Habari

JF-Expert Member
Joined
Dec 12, 2019
Posts
239
Reaction score
234
Screenshot_20201209-130133.png


SISI CUF TUTAJIKITA KUDAI TUME HURU YA UCHAGUZI NA KATIBA MPYA" PROF. LIPUMBA"

Mwenyekiti wa CUF, Prof. Lipumba amesema hayo leo Desemba 9,2020 wakati alipokutana na viongozi mbali mbali wa mkoa wa Dar es Salaam katika Ofisi Kuu ya chama Buguruni.

Prof. Lipumba alikutana na wenyekiti wa wilaya, makatibu wa wilaya, wenyeviti wa kata, makatibu wa kata, viongozi wa wakuu wa jumuiya zote za chama za ngazi zote.
 
Mzee zama zako na Mbatia zimeshapita sasa waacheni ACT & special 19 wale mema ya nchi.
 
Mzee zama zako na Mbatia zimeshapita sasa waacheni ACT & special 19 wale mema ya nchi.
Niliwahi kuwaza kuwa kama ACT watataka kummaliza lipumba na mbatia,njia ya mkato ni kufanya maridhiano na serikali,🤩🤩
Lipumba kwisha habari yake...
 
Niliwahi kuwaza kuwa kama ACT watataka kummaliza lipumba na mbatia,njia ya mkato ni kufanya maridhiano na serikali,[emoji2956][emoji2956]
Lipumba kwisha habari yake...
Sasa ubaya Lipumba hataki kukubaliana na muda ndio maana anakuja kwa kila style
 
Niliwahi kuwaza kuwa kama ACT watataka kummaliza lipumba na mbatia,njia ya mkato ni kufanya maridhiano na serikali,[emoji2956][emoji2956]
Lipumba kwisha habari yake...
Ndio ujuwe Lipumba Ndio alikuwa anamuhitaji zaidi Maalim Seif kuliko Maalim Seif kumuhitaji Lipumba.

Imethibitika Maalim Seif ni taasisi, na hata sasa hivi Zitto Kabwe anapata air time kwa ajili ya Maalim Seif.
 
View attachment 1645460SISI CUF TUTAJIKITA KUDAI TUME HURU YA UCHAGUZI NA KATIBA MPYA" PROF. LIPUMBA"

Mwenyekiti wa CUF, Prof. Lipumba amesema hayo leo Desemba 9,2020 wakati alipokutana na viongozi mbali mbali wa mkoa wa Dar es Salaam katika ofisi kuu ya chama Buguruni.

Prof. Lipumba alikutana na wenyekiti wa wilaya, makatibu wa wilaya, wenyeviti wa kata, makatibu wa kata, viongozi wa wakuu wa jumuiya zote za chama za ngazi zote.

Mmeshafulia hamna jipya nyie CUF.
 
Hapa lipumba ana hoja ya msingi.Maridhiano ya watawala katika kutafuna vyeo Sio sawa.
 
hahahah! CUF imegeuka na inafanya kazi za NCCR-Mageuzi na NCCR imekufa!
 
View attachment 1645460

SISI CUF TUTAJIKITA KUDAI TUME HURU YA UCHAGUZI NA KATIBA MPYA" PROF. LIPUMBA"

Mwenyekiti wa CUF, Prof. Lipumba amesema hayo leo Desemba 9,2020 wakati alipokutana na viongozi mbali mbali wa mkoa wa Dar es Salaam katika Ofisi Kuu ya chama Buguruni.

Prof. Lipumba alikutana na wenyekiti wa wilaya, makatibu wa wilaya, wenyeviti wa kata, makatibu wa kata, viongozi wa wakuu wa jumuiya zote za chama za ngazi zote.
Hivi hapa hawa anaozungumza nao wanatimiza angalau milo 2 kwa siku?
Isiwe unaplan jambo na wachovu ,halafu utarajie mema?
Yampsa Prf. Lipumba atulize kichwa chake kwanza ,
Kimsingi Idea yake ni + na wakati wake haswa ndiohuu lakini unaongea na nani?
Angeliorganise kwanza vyama pinzani vikubaliane kwenye hili kabla ili harambee ya katibe isiwe agenda ya chama kimoja peke yake.
Tunaweza kudhani pengine katumika kupima upepo hivi au kuzima kabisa ajenda yenyewe.
Lakini mimi nadhani ana nia njema, ila historia yake ya kiusaliti inaweza ikamuhukumu pamoja na nia yake njema.

Ijiulize atatokaje hapo?

Profesa Lipumba: Sisi CUF tutajikita kudai Tume Huru ya Uchaguzi na Katiba Mpya​

 
Kuachwa kubaya jamani,CUF wamepigwa kibuti sasa hivi CCM wana mke mpya ACT. Ila CCM msifanye hivyo jamani mumepata chungu kipya mumetupa cha zamani.
 
Back
Top Bottom