Profesa Manya: Ratiba za uzoaji Taka nchini hazieleweki na maeneo mengi hayana Madampo

Profesa Manya: Ratiba za uzoaji Taka nchini hazieleweki na maeneo mengi hayana Madampo

BARD AI

JF-Expert Member
Joined
Jul 24, 2018
Posts
3,591
Reaction score
8,826
DODOMA: Mbunge Prof. Shukrani Elisha Manya amesema Maeneo mengi ya Makazi nchini hayajatengewa sehemu maalumu za Kuhifadhi Taka, hali inayosababisha kuzagaa kwa Taka mitaani

Pia, amesema ratiba ya Magari yanayopita kukusanya Taka kwenye makazi ya Watu haziko wazi na hazijulikani kwa Wananchi na hivyo kukwamisha zoezi la uzoaji Taka kwenye makazi

Aidha, ameshauri Serikali kupitia Ofisi ya Makamu wa Rais - Mazingira itoe mwongozo kwenye Mamlaka zote za TAMISEMI nchini ili kuwe na utaratibu unaoleweka wa jinsi ya kutunza Taka.

 
Kuna mji mmoja katikati ya nchi unanuka uvundo wa taka. Kulikuwa na vizimba na madampo wakayapiga marufuku kutupa taka na mengi wakayavunja, badala yake wananchi wakapewa utaratibu wa kuweka taka kwenye viroba kisha viroba hivyo huwekwa kando ya barabara za mitaani kusubiria gari la kukusanya viroba hivyo na kwenda kuvitupa wanakojua. Kwa kiufupi utaratibu huu si mzuri unachafua miji
 
Dampo la TAKA kinondoni ilikuwa pale makaburini,lile eneo kapewa
Mtu afanye car wash
Maeneo mengine vepee nayo

Ova
 
Ccm hamueleweki aisee, huyu mbunge aliteuliwa kutoka department ya geology udsm ili awe naibu waziri wa madini, sasa mkamfukuza uwaziri ila bado Kawa mbunge sasa sijui anamuwakilisha nani huko bungeni, hii nchi kuna usengerema mwingi sana unaendelea...... Inatakiwa tupate mtu kama Hitler hata mwaka tu
 
Ccm hamueleweki aisee, huyu mbunge aliteuliwa kutoka department ya geology udsm ili awe naibu waziri wa madini, sasa mkamfukuza uwaziri ila bado Kawa mbunge sasa sijui anamuwakilisha nani huko bungeni, hii nchi kuna usengerema mwingi sana unaendelea...... Inatakiwa tupate mtu kama Hitler hata mwaka tu
Prof ànasikitisha, kichwani kumejaa majalala tu.
 
Hizo chupa za energy ni janga kwelu, ila kuglorify ukotaji chupa nalo ni janga kubwa zaidi ya hizo chupa za energy
 
Ccm hamueleweki aisee, huyu mbunge aliteuliwa kutoka department ya geology udsm ili awe naibu waziri wa madini, sasa mkamfukuza uwaziri ila bado Kawa mbunge sasa sijui anamuwakilisha nani huko bungeni, hii nchi kuna usengerema mwingi sana unaendelea...... Inatakiwa tupate mtu kama Hitler hata mwaka tu
Ni kweli halafu huyu Profesa yuko vizuri kichwani. Alipokuwa madini alipatendea haki, bora wangemrejesha atumie utaalamu wake kuendeleza ile sekta. Tukipunguza siasa nyingi kwenye mambo ya msingi hasa ya kitaalamu tutasonga mbele kwa kasi!
 
Hali ni mbaya mtaani...Nina miezi 2 sjaona gari la taka🤣...na ushuru wa taka wanakusanya🤣🤣💰
 
Back
Top Bottom