Profesa Mark Mwandosya kuwa Rais kwa kipindi kimoja, Roho Mtakatifu amenituma niseme

Profesa Mark Mwandosya kuwa Rais kwa kipindi kimoja, Roho Mtakatifu amenituma niseme

CHEF

JF-Expert Member
Joined
Nov 4, 2013
Posts
222
Reaction score
122
Nianze kwa kusema tu sina uhusiano wa aina yoyote na Profesa Mark Mwandosya, hanijui kwa jina wala sura pia kwa upande wangu namjui kwa jina na kumuona kwenye picha na video tu hatujawahi kukutana.

Ila hii sauti imeanza kuniijia kwa zaidi ya miezi sita sasa niliipuuzia lakini nimeshindwa inanisumbua sana. Sauti inaniambia niseme Profesa Mark Mwandosya aambiwe agombee urais atashinda lakini ataongoza kwa kipindi kimoja tu, ahakikishe anawapa mamlaka wananchi na kuipa dira ya kiuchumi na kiutawala nchi.

Ahakikishe mgombea mwenza wake ni competent enough kuongoza nchi . Ni hayo tu kwa kufikisha ujumbe hapa nahisi sauti hii inakoma kuniijia.

Aksante
 
Kwamba nae atadedi na kumpisha mgombea mwenza wake.

Anyway, hatuwezi kupuuza mkuu, siku uzi utaibuliwa tuone aibu tukikana sasa hivi.
Mkuu sijasema hivi, nimeeleza kama sauti ilivyoniijia, natumaini baada ya kusema hapa sauti itakoma kuniijia
 
Nianze kwa kusema tu sina uhusiano wa aina yoyote na Profesa Mark Mwandosya, hanijui kwa jina wala sura pia kwa upande wangu namjui kwa jina na kumuona kwenye picha na video tu hatujawahi kukutana...
Leo dawa umekunywa mkuu? Pia jitaid umalize dozi
 
Nianze kwa kusema tu sina uhusiano wa aina yoyote na Profesa Mark Mwandosya, hanijui kwa jina wala sura pia kwa upande wangu namjui kwa jina na kumuona kwenye picha na video tu hatujawahi kukutana...
Du.....ndoto ni ndoto !
 
Back
Top Bottom