Njoo na pichaMwandosya nilienda kumuona nyumbani kwake Kyela, afya imedorora na amechoka sana. Atachosha taifa, aachwe apumzike. Majikumu yale yanataka mtu makini na timamu kimwili.
Mwandosya hata ngazi za ndege Boeing 373 hawezi kumaliza
sikweli huyu kiafya Yuko imara japokua chadema itashindaHaya kama Biden
Itatusaidia Nini sie?Nianze kwa kusema tu sina uhusiano wa aina yoyote na Profesa Mark Mwandosya, hanijui kwa jina wala sura pia kwa upande wangu namjui kwa jina na kumuona kwenye picha na video tu hatujawahi kukutana.
Ila hii sauti imeanza kuniijia kwa zaidi ya miezi sita sasa niliipuuzia lakini nimeshindwa inanisumbua sana. Sauti inaniambia niseme Profesa Mark Mwandosya aambiwe agombee urais atashinda lakini ataongoza kwa kipindi kimoja tu, ahakikishe anawapa mamlaka wananchi na kuipa dira ya kiuchumi na kiutawala nchi.
Ahakikishe mgombea mwenza wake ni competent enough kuongoza nchi . Ni hayo tu kwa kufikisha ujumbe hapa nahisi sauti hii inakoma kuniijia.
Aksante
Huyu si ndiye tunaambiwa alotuharibia TTCLNianze kwa kusema tu sina uhusiano wa aina yoyote na Profesa Mark Mwandosya, hanijui kwa jina wala sura pia kwa upande wangu namjui kwa jina na kumuona kwenye picha na video tu hatujawahi kukutana.
Ila hii sauti imeanza kuniijia kwa zaidi ya miezi sita sasa niliipuuzia lakini nimeshindwa inanisumbua sana. Sauti inaniambia niseme Profesa Mark Mwandosya aambiwe agombee urais atashinda lakini ataongoza kwa kipindi kimoja tu, ahakikishe anawapa mamlaka wananchi na kuipa dira ya kiuchumi na kiutawala nchi.
Ahakikishe mgombea mwenza wake ni competent enough kuongoza nchi . Ni hayo tu kwa kufikisha ujumbe hapa nahisi sauti hii inakoma kuniijia.
Aksante
Na Trump amempania kweri-kweriHaya kama Biden
Naona Kuna watu wametumwa kupima Upepo!
Walianza na Makamba, Mwigilu, Majaliwa, Mpina na Mwandosya.
Nina Uhakika, hamtaamini macho yenu Jina litakalo Rudi
Endelea kuota MkuuJamani naomba Mzee wa watu asishirikishwe kwa chochote kwenye uzi huu naomba nieleweke hivi Nimesema ili sauti ikome kuniijia haijalishi atafanya hivyo au laaa!
Maji mtaita mma
Niliwahi kwenda Chunya hakyamama mnyaki mwenye baiskeli au pikipiki hapishi gari bali wewe umkwepe au umfuate nyuma.Maji mtaita mma