mkiluvya
JF-Expert Member
- May 23, 2019
- 809
- 729
Maalim Seif ana robo karne sasa toka ameanza kushiriki apumzike sasa mtammaliza sasa mzee wa watuAtamshinda kwa wizi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Maalim Seif ana robo karne sasa toka ameanza kushiriki apumzike sasa mtammaliza sasa mzee wa watuAtamshinda kwa wizi
lolote linawezekana lakini Profesa ndiye Rais wa Visiwani ajaye wapemba tushahamua sasaHuyu Mbarawa ni Raisi wa Zanzibar wa Magufuli maana hata CCM Zanzibar wenyewe hawamtaki,ameshindwa kupata jimbo ataweza kupewa nchi!!!
Kwa kiasi kikubwa huo ndio ukweliWenye Maono makubwa tu na makali tumeshasema mapema sana na mno hapa JamiiForums kuwa Profesa Mbarawa ndiyo Isles next President.
Kwa kiasi kikubwa huo ndio ukweli
Wapemba gani wanazungumza na kuandika kiswahili hiki?lolote linawezekana lakini Profesa ndiye Rais wa Visiwani ajaye wapemba tushahamua sasa
Angalau msitaarabu mwingine ataendelea kuijenga Zenji! Sio hao alshababu!Wakuu baada ya Mwalim Seif kutangaza nia ya kuwania Urais Zanzibar, ni dhahiri shahiri Profesa Mbarawa atapita kwa kishindo kikubwa! Prof amezidi kuipaisha nyota yake katika utendaji wenye mafanikio makubwa kwa Wizara alizosimamia zenye kuhudumia Watanzania zaidi ya 58+ Million!
Kwa Zanzibar msingi alioujenga Dkt Shein hakika umepata mjenzi wa kuta zake!
Tusubiri mchakato upite salama!
Mkuu mbona kama naona una wasiwasi na huyu mzee. Amekomaa kuiongoza Zanzibar tusubiri wananchi wasemeMaalim Seif ana robo karne sasa toka ameanza kushiriki apumzike sasa mtammaliza sasa mzee wa watu
Mkuu unataka tupeperushe bendera nusu mlingoti?Nitashukuru sana hilo likitokea, sipendi Hussein Mwinyi ashinde au akaribie ushindi.
Nwenyenzi mungu amuonyeshe Mzee Mwinyi kuwa ni Haram Maktaa kuuza imani yako kwa sababu ya cheo cha mwanao. Jee mzee wetu alikuwa kila akipata fursa analamba viatu vya Magufuli, ili mwanae arahisishiwe kushonda Uraisi, kwa upendeleo na uwizi wa kura za ndani ya chama na za wananchi.
Kwa Dhulma hiyo Mzee Mwinyi na Mwanae hawastahili kuungqa MKONO.
Tanzania ni zaidi ya mtu mmoja au wawiliMkuu unataka tupeperushe bendera nusu mlingoti?
Naomba tukumbukane kwa malipo ya utabiri siku akiapishwaNashukuru kwa Kunielewa juu ya hilo Ndugu.