Zanzibar 2020 Profesa Mbarawa atapita Zanzibar kwa zaidi ya 80%

Zanzibar 2020 Profesa Mbarawa atapita Zanzibar kwa zaidi ya 80%

Nafasi anastahili Ali Karume mtu wa watu. Wagombea wengine wanasukumwa na blind ambition . Karume oyee.
 
Nitashukuru sana hilo likitokea, sipendi Hussein Mwinyi ashinde au akaribie ushindi.

Nwenyenzi mungu amuonyeshe Mzee Mwinyi kuwa ni Haram Maktaa kuuza imani yako kwa sababu ya cheo cha mwanao. Jee mzee wetu alikuwa kila akipata fursa analamba viatu vya Magufuli, ili mwanae arahisishiwe kushonda Uraisi, kwa upendeleo na uwizi wa kura za ndani ya chama na za wananchi.

Kwa Dhulma hiyo Mzee Mwinyi na Mwanae hawastahili kuungqa MKONO.
 
Zanzibar haitabiriki- kamati ya fitna ikimaliza kazi ndio utajua. Na baada ya hapo wateule 5 wanapelekwa Dodoma na kule inategemea jamaa ameamka je. Kumbuka Salim Ahmedi Salim walimliza huko na hata Bilali anawajua.
 
Wakuu baada ya Mwalim Seif kutangaza nia ya kuwania Urais Zanzibar, ni dhahiri shahiri Profesa Mbarawa atapita kwa kishindo kikubwa! Prof amezidi kuipaisha nyota yake katika utendaji wenye mafanikio makubwa kwa Wizara alizosimamia zenye kuhudumia Watanzania zaidi ya 58+ Million!

Kwa Zanzibar msingi alioujenga Dkt Shein hakika umepata mjenzi wa kuta zake!

Tusubiri mchakato upite salama!
Angalau msitaarabu mwingine ataendelea kuijenga Zenji! Sio hao alshababu!
 
Maalim Seif ana robo karne sasa toka ameanza kushiriki apumzike sasa mtammaliza sasa mzee wa watu
Mkuu mbona kama naona una wasiwasi na huyu mzee. Amekomaa kuiongoza Zanzibar tusubiri wananchi waseme
 
Nitashukuru sana hilo likitokea, sipendi Hussein Mwinyi ashinde au akaribie ushindi.

Nwenyenzi mungu amuonyeshe Mzee Mwinyi kuwa ni Haram Maktaa kuuza imani yako kwa sababu ya cheo cha mwanao. Jee mzee wetu alikuwa kila akipata fursa analamba viatu vya Magufuli, ili mwanae arahisishiwe kushonda Uraisi, kwa upendeleo na uwizi wa kura za ndani ya chama na za wananchi.

Kwa Dhulma hiyo Mzee Mwinyi na Mwanae hawastahili kuungqa MKONO.
Mkuu unataka tupeperushe bendera nusu mlingoti?
 
Back
Top Bottom