Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anafaa sanaView attachment 2925643
Hii ndio Taarifa ya sasa kutoka kwa Mamlaka ya Uteuzi Nchini Tanzania .
Toa Maoni yako
Acha atupe alionayo....ila huyu haja staafu ??View attachment 2925643
Hii ndio Taarifa ya sasa kutoka kwa Mamlaka ya Uteuzi Nchini Tanzania .
Toa Maoni yako
Alishastaafu Ila Anapambana Na AjiraAcha atupe alionayo....ila huyu haja staafu ??
Siye unayemzungumzia. Huyu bado sana, ana weledi stahiki, pia mnyenyekevu sana.Acha atupe alionayo....ila huyu haja staafu ??
Alishastaafu Ila Anapambana Na Ajira
HahahahaAlishastaafu Ila Anapambana Na Ajira
Riziki kwa familia Nola tijaView attachment 2925643
Hii ndio Taarifa ya sasa kutoka kwa Mamlaka ya Uteuzi Nchini Tanzania .
Toa Maoni yako
Umechanganya madesa. Dr Prosper Mgaya kustaafu bado sana.Acha atupe alionayo....ila huyu haja staafu ??
Kwann unahisi wakati kwenye taarifa imeelezwa? au umesoma kwa kukimbia kimbia mkuu?Anaitwa prosper Mgaya ,a vey passionate guy ,nahisi yule Zakaria kasepa pale .
Alikuwa makamu pale ,I hope Dr zakaria kustaafu.
Aliifundisha hydrology siwezi kumsahau yupo vizuri sana.
Halaf wanasema sis tujiajiriAlishastaafu Ila Anapambana Na Ajira