Father of All
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 7,672
- 9,039
Hata mie nashangaa yaani hii nayo ameona aanzishe uzi. Watu kuna maneno kibao huwa yanatushinda kutamka tena ni ya kiswahili. Sioni kama ni issue sana.La yaani ndio umeona kitu muhimu kutuletea hapa?
Sasa na wewe hilo neno uliloanza nalo tuite ni ufala au tukuite kilaza? Unajiona unajua kumbe hujui!Wanangu hamjamboni? Sijui niuite usomi, ujinga, ukoloni wala sijui. Wakati akisoma utangulizi wa kitabu cha Mzee Ali Hassan Mwinyi, profesa Rwekaza Mukandala alishindwa mara mbili kutamka neno wahafidhina. Ingekuwa kashindwa kutamka neno la kimombo ungesikia stori kibao. Je hii inamaanishani wanangu?
Hajui kuwa hajuiSasa na wewe hilo neno uliloanza nalo tuite ni ufala au tukuite kilaza? Unajiona unajua kumbe hujui!
Kwani yeye ni malaika ajue kila kitu kwamba asikosee.Wanangu hamjamboni? Sijui niuite usomi, ujinga, ukoloni wala sijui. Wakati akisoma utangulizi wa kitabu cha Mzee Ali Hassan Mwinyi, profesa Rwekaza Mukandala alishindwa mara mbili kutamka neno wahafidhina. Ingekuwa kashindwa kutamka neno la kimombo ungesikia stori kibao. Je hii inamaanishani wanangu?
Wahaya wengi hawajui kiswahili kabisa, ng'ombe wanaita gombe na vituko vingineWanangu hamjamboni? Sijui niuite usomi, ujinga, ukoloni wala sijui. Wakati akisoma utangulizi wa kitabu cha Mzee Ali Hassan Mwinyi, profesa Rwekaza Mukandala alishindwa mara mbili kutamka neno wahafidhina. Ingekuwa kashindwa kutamka neno la kimombo ungesikia stori kibao. Je hii inamaanishani wanangu?
huo ndio unyumbu sasa katika uhalisia wake.Wachangiaji wengi kwenye mada hii ni utopolo! Kwa nini tunalazimisha kutomwelewa mleta mada? Anacholalamikia ni mazoea ya Watanzania kuwazodoa wanaoshindwa kutamka maneno ya Kiingereza huku tukiwaacha wanaoshindwa Kiswahili! Mliona Mh. Jiwe aiposhindwa kusema "Front Page " na kusema "Font Fed" na pia aliposhindwa kutamka "Entrepreneurship". Mapeji na Mapeji yalijaa hapa JF na kule twittani! Hapo ndipo hoja ya mleta mada ilipojificha "kwa nini tuwabeze wa Kiingereza na kuwapotezea wa Kiswahili?"
Sure mkuuWachangiaji wengi kwenye mada hii ni utopolo! Kwa nini tunalazimisha kutomwelewa mleta mada? Anacholalamikia ni mazoea ya Watanzania kuwazodoa wanaoshindwa kutamka maneno ya Kiingereza huku tukiwaacha wanaoshindwa Kiswahili! Mliona Mh. Jiwe aiposhindwa kusema "Front Page " na kusema "Font Fed" na pia aliposhindwa kutamka "Entrepreneurship". Mapeji na Mapeji yalijaa hapa JF na kule twittani! Hapo ndipo hoja ya mleta mada ilipojificha "kwa nini tuwabeze wa Kiingereza na kuwapotezea wa Kiswahili?"
yalitokea kwa marehem,mpaka wasomi watu wazima wakajikita kwenye jambo lile.Nafikiri watz labda tujaribu zaidi, kuelekeza nguvu zetu nyingi kwenye issues ambazo ni 'objective' 'kwa maendeleo, na jinsi ya kutatua changamoto than kuwa 'too subjective' .... tumechelewa sana.
Hata KP leo neno hilo hilo limempa chenga kidogo kwenye PB.Neno hilo lina mzizi wa kiarabu ni aghalabu jamii nyingi za waafrika walioanza kujifunza lugha zao za asili kabla ya kiswahili kupata shida kutamka maneno ya kiswahili yenye asili ya kiarabu, Prof Mukandala ni Muhaya.--- Hakuna cha ajabu hapo.
Hilo nalo ni la kujadili?Wanangu hamjamboni? Sijui niuite usomi, ujinga, ukoloni wala sijui. Wakati akisoma utangulizi wa kitabu cha Mzee Ali Hassan Mwinyi, profesa Rwekaza Mukandala alishindwa mara mbili kutamka neno wahafidhina. Ingekuwa kashindwa kutamka neno la kimombo ungesikia stori kibao. Je hii inamaanishani wanangu?
Achana na mujahdeen huyo.La yaani ,ndio umeona kitu muhimu kutuletea hapa?!!