Profesa Mukandala kushindwa kutamka neno Wahafidhina nini tatizo?

Nafikiri watz labda tujaribu zaidi, kuelekeza nguvu zetu nyingi kwenye issues ambazo ni 'objective' 'kwa maendeleo, na jinsi ya kutatua changamoto than kuwa 'too subjective' tumechelewa sana.
Hapo ndio akili ya mtz ilipolala Ni ngumu kujikwamua kiuchumi km tunatumia muda na akili nyingi kudeal na sujective issues

Nyuzi nyingi humu jf Ni za kujadili watu badala ya kuwa innovatives ktk technical na economical agendas.
 
Kiswahili nilikisoma au kufundishwa tangu darasa la tatu mpaka kidato cha nne, sikuwahi kukutana na neno hili. Ila nilimshangaa rais kushindwa na maneno ambayo tangu shule ya msingi yamekuwa yakijirudiarudia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…