mashoodjr
JF-Expert Member
- Feb 4, 2016
- 2,222
- 1,509
Sasa hivi kila kifo kinasingiziwa corona utafikiri kabla kuja corona watu walikuwa hawafi
IQ yako ndogo sana, sishangai ndo majority ya watanzania.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa hivi kila kifo kinasingiziwa corona utafikiri kabla kuja corona watu walikuwa hawafi
Sasa mkuu tukusikilize wewe mwanalumba au tumsikilize profesa mwenye akili zake kichwani na tena mfiwa?cheti cha kifo ndivyo kinavyosomeka? kuwa kafa kwa corona? tuwekrwe ushahidi wa picha ya hicho cheti