Profesa mwenye akili alie baki ccm, achilia mbali prof.mwandosya

Gabeji

JF-Expert Member
Joined
Sep 10, 2024
Posts
1,530
Reaction score
1,903
Wasomi wengi Tanzania wameacha taaluma zao kujifucha ccm kutafuta fusa na uchawa.
Madokta, na maprofesa walioko ccm wengi ni machawa, elimu zao na usomi wao wote wameutupa na kuchagua uchawa, maprofesa waliopo ccm ni mmoja tu alie baki ni Anna Tibaijuka,
Wengine wote ni machawa. Ccm wanzishe chuo cha kusomea uchawa.
 

Attachments

  • Screenshot_20250310-191509_1.jpg
    318.5 KB · Views: 1
Ni mimi nilieleta neno "have" hapa duniani "has" alileta trump
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…